johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,928
- 141,892
Waziri wa Utumishi na Utawala bora captain George Huruma Mkuchika amesema Tanzania ni nchi ya 3 barani Afrika na ya 28 duniani kwa matumizi bora ya fedha za serikali.
Waziri Mkuchika amesema hiyo ni kwa mujibu wa jarida la World economic forum na kwamba Tanzania imetanguliwa na Rwanda na Lesotho.
Source Upendo tv!
Maendeleo hayana vyama!
Waziri Mkuchika amesema hiyo ni kwa mujibu wa jarida la World economic forum na kwamba Tanzania imetanguliwa na Rwanda na Lesotho.
Source Upendo tv!
Maendeleo hayana vyama!