PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 879
- 956
Menejimenti na watumishi wote wanaungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt.Hussein Mwinyi na Watanzania wote katika kusheherekea miaka 57 ya Muungano wa Tanzania.Muungano wetu ni msingi imara wa mapinduzi ya kiuchumi,Tudumishe muungano wetu" Waziri wa nchi ,ofisi ya Rais Mhe.Mchengerwa