Wizara Ya Ardhi Imetoa Orodha Mpya Ya Taasisi Umma N Taasisi Binafsi Zinazodaiwa Kodi, Wamo TRa(Wakatisha Kodi Maarufu) wamo BOT, Wamo Dawasa, Wamo St. Augustine, Mzumbe University nk
Wizara Ya Ardhi Imetoa Orodha Mpya Ya Taasisi Umma N Taasisi Binafsi Zinazodaiwa Kodi, Wamo TRa(Wakatisha Kodi Maarufu) wamo BOT, Wamo Dawasa, Wamo St. Augustine, Mzumbe University nk
Tatizo kila taasisi Ina kusanya aina yake ya kodi (mapato) sasa ukikutwa na tanesco utaelewa, ukikutwa na dawasa sijui dawasco nao hajalishi ni hospital, ukikutwa na kanisa watataka zaka nk... Maliasili nao watataka chao... Tpa nao piia