Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,122
- 52,864
Una matatizo makubwa na wala tatizo siyo huyo waziri. Kama uliwahi ''kumkubali'' mtu kama huyu basi wewe ndiyo tatizo. Slow learner? Nyumbu's mind? Kwa kifupi una tatizo.Hakuna waziri nilikuwa namkubali kama aweso
Ila kwa sasa amenishangaza Sana hivi unawezaje kumnyima mtu maji zaidi ya week mbili,tatu au nne
Waziri kweli unapokea mshahara
Ofsini mnaenda kabisa nyie dawasa
Jamani kama kwako kuna maji naomba location nihamie Kwa muda .this is too much
Hakuna anaejali wala kuwajibika yaani maisha yanaendelea kama hakuna kitu vile
Pls guys
Maeneo mengi umefanya research wapi were chawaUnaishi wapi maana maji yameanza kuimarika maeneo mengi
SawaUna matatizo makubwa na wala tatizo siyo huyo waziri. Kama uliwahi ''kumkubali'' mtu kama huyu basi wewe ndiyo tatizo. Slow learner? Nyumbu's mind? Kwa kifupi una tatizo.
Hana jipya huyu, lbd kuongeza wake..Hakuna waziri nilikuwa namkubali kama aweso
Ila kwa sasa amenishangaza Sana hivi unawezaje kumnyima mtu maji zaidi ya week mbili,tatu au nne
Waziri kweli unapokea mshahara
Ofsini mnaenda kabisa nyie dawasa
Jamani kama kwako kuna maji naomba location nihamie Kwa muda .this is too much
Hakuna anaejali wala kuwajibika yaani maisha yanaendelea kama hakuna kitu vile
Pls guys
mwambie aende SINZA wiki 3 maji hakuna na BILI ZINASOMA kubwa zaidi ya yalivyo kawaidaMaeneo mengi umefanya research wapi were chawa
Kwani ulilazimishwa kukaa / kupanga hapo ulipo? Si uhame tu?Hakuna waziri nilikuwa namkubali kama aweso
Ila kwa sasa amenishangaza Sana hivi unawezaje kumnyima mtu maji zaidi ya week mbili,tatu au nne
Waziri kweli unapokea mshahara
Ofsini mnaenda kabisa nyie dawasa
Jamani kama kwako kuna maji naomba location nihamie Kwa muda .this is too much
Hakuna anaejali wala kuwajibika yaani maisha yanaendelea kama hakuna kitu vile
Pls guys
Kwani no mtaa wangu tu hauna maji?Kwani ulilazimishwa kukaa / kupanga hapo ulipo? Si uhame tu?
Kimara kwa sasa kuna blanket punishment. Ila wizara imesahau kwamba maji yaendayo mjini yanapitia Mbezi/Kimara/Ubungo.Hakuna waziri nilikuwa namkubali kama aweso
Ila kwa sasa amenishangaza Sana hivi unawezaje kumnyima mtu maji zaidi ya week mbili,tatu au nne
Waziri kweli unapokea mshahara
Ofsini mnaenda kabisa nyie dawasa
Jamani kama kwako kuna maji naomba location nihamie Kwa muda .this is too much
Hakuna anaejali wala kuwajibika yaani maisha yanaendelea kama hakuna kitu vile
Pls guys