Sasa hv kutafuna na magonjwa haya ni baraaaaaaaaa.......... Zamani acha iwe zamani kulikuwa na raha yake. Enzi hizo mnakula ugali nyama mpo kwa mfano watano, kila mtu na kipande chake umekishikilia mkono wa kushoto mkono wa kulia ni tonge na kuchoveya kwenye bakuli/sahani moja mnayo-share wote......
Nakumbuka ktk ku-share bakuli/sahani, km siku mnakula samaki nlikua na uncle wangu mkono huo huo anaolia ndio analia samaki na mifupa inayotoka mdomoni anawekea mkono huo huo.... Nlikua nauzika na nlikua nashindwa mwambia maana MURA alikua MKARI mno.......
Ila ni uchaafu na magonjwa mengi sana kufanya hayo mambo now....