meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,828
Mbwembwe za wazenji kuhusu muungano zimeanza kuzimwa baada ya hotuba ya Warioba.
Ninachokihisi ni kwamba wazanzibari wengi hawajatambua umuhimu na fursa zilizoko Tanzania bara!
Muda umefika wa kufanya maamuzi,hata watanganyika tumeshtuka!
Ninachokihisi ni kwamba wazanzibari wengi hawajatambua umuhimu na fursa zilizoko Tanzania bara!
Muda umefika wa kufanya maamuzi,hata watanganyika tumeshtuka!