Wazanzibar wanawavizia Membe na Pinda

Wazanzibar wanawavizia Membe na Pinda

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
437
Zanzibar ni nchi kamili ambayo ina serikali, Baraza la wawakilishi (Bunge) pamoja na mahakama ambazo zina ushirikiano wa mambo ya kimuungano na Tanzania Bara.

Ni jambo la ajabu na fedheha kubwa kuona mtu ama kiongozi yeyote yule kuipuuzia Zanzibar na kujenga dharau kwa watu na serikali yake kwa kutumia kete ya udogo wa kijiografia ama uchache wa watu.

Kwa nyakati tofauti tofauti tumewashuhudia Waziri wa mambo ya nchi za nje na ushirikiano wa kimataifa Mhe. Bernard Membe na Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda wakishiriki kuidharau na kuibomoa Zanzibar.

Tuanze na Bernard Membe. Membe haaminiki linapokuja suala la kuwahakikishia Wazanzibari muungano wa maridhiano, unaojali hali halisi, unaohitaji kuendeshwa kwa uwazi na ukweli, tena kwa kuzingatia kuwa watu wa nchi hizi mbili walishakuwa na mahusiano ya damu hata kabla ya hiyo 1964.

Membe anajulikana kuinyonga Zanzibar kwa kuifutia misaada ya kielimu ya Oman. Alitumia ukuu wake wa wizara anayoongoza akafuta misaada dakika chache kabla ya kusomwa tamko la kiushirikiano kati ya Tanzania na Oman alipokuja kuzuru nchini Waziri wa Elimu ya Juu wa Oman, Dk. Rawiyah Al Busaid, mzaliwa wa Oman kwa baba aliyezaliwa mjini Zanzibar miaka ya 1940.

Kama hiyo haitoshi Membe alishawahi kusema Bungeni kuwa Wazanzibar wasijitutumue kwani kwake Zanzibar anauona kama ni mkoa tu. Lahaula!

Watu ambao wana serikali yao, wana Rais, wana chombo chao cha kutunga sheria (Baraza la wawakilishi), wana vyombo vya ulinzi na usalama wana mahakama utaweza kuita Zanzibar ni mkoa? Hii jeuri na dharau anayoionyesha Membe kwa Wazanzibar ameitolea wapi? Eti Zanzibar ni mkoa! Lahaula!

Kauli ambayo inataka kufanana na hiyo ilishawahi kutolewa na Waziri mkuu Mizengo Pinda ambaye yeye hakuvuka mipaka ya kuidharau Zanzibar mpaka kuita mkoa bali yeye Pinda alisema kwake Zanzibar sio nchi. Lahaula!

Membe na Pinda ambao wameonyesha dhahiri kuidharau Zanzibar ni dhahiri shahiri wanaweza kufanya mambo makubwa kwa Zanzibar endapo watapewa madaraka makubwa wanaweza kuisambaratisha Zanzibar kutoka kuwa nchi hadi kuwa mkoa, kama wanavyodai.

Ipo siku naamini endapo Membe na Pinda wakifanikiwa kuwa viongozi wakubwa watatamani kuizibia mianya yote ya kimaendeleo na fursa stahiki kwa Wazanzibar. Tuwe nao makini haswaa nyakati hizi za kumpata Rais mpya wa awamu ya tano
 
Wamesahau kwamba ,ili uwe raisi wa jamhuri kupitia ccm 45% ni wazanzibar ambao kura zao ni muhimu sana.
 
Timu Lowassa kazini,mtu anayetumia jina la kike wakati ni dume zima ni wa kudharauliwa tu.
 
Zanzibar ni nchi kamili ambayo ina serikali, Baraza la wawakilishi (Bunge) pamoja na mahakama ambazo zina ushirikiano wa mambo ya kimuungano na Tanzania Bara.

Ni jambo la ajabu na fedheha kubwa kuona mtu ama kiongozi yeyote yule kuipuuzia Zanzibar na kujenga dharau kwa watu na serikali yake kwa kutumia kete ya udogo wa kijiografia ama uchache wa watu.

Kwa nyakati tofauti tofauti tumewashuhudia Waziri wa mambo ya nchi za nje na ushirikiano wa kimataifa Mhe. Bernard Membe na Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda wakishiriki kuidharau na kuibomoa Zanzibar.

Tuanze na Bernard Membe. Membe haaminiki linapokuja suala la kuwahakikishia Wazanzibari muungano wa maridhiano, unaojali hali halisi, unaohitaji kuendeshwa kwa uwazi na ukweli, tena kwa kuzingatia kuwa watu wa nchi hizi mbili walishakuwa na mahusiano ya damu hata kabla ya hiyo 1964.

Membe anajulikana kuinyonga Zanzibar kwa kuifutia misaada ya kielimu ya Oman. Alitumia ukuu wake wa wizara anayoongoza akafuta misaada dakika chache kabla ya kusomwa tamko la kiushirikiano kati ya Tanzania na Oman alipokuja kuzuru nchini Waziri wa Elimu ya Juu wa Oman, Dk. Rawiyah Al Busaid, mzaliwa wa Oman kwa baba aliyezaliwa mjini Zanzibar miaka ya 1940.

Kama hiyo haitoshi Membe alishawahi kusema Bungeni kuwa Wazanzibar wasijitutumue kwani kwake Zanzibar anauona kama ni mkoa tu. Lahaula!

Watu ambao wana serikali yao, wana Rais, wana chombo chao cha kutunga sheria (Baraza la wawakilishi), wana vyombo vya ulinzi na usalama wana mahakama utaweza kuita Zanzibar ni mkoa? Hii jeuri na dharau anayoionyesha Membe kwa Wazanzibar ameitolea wapi? Eti Zanzibar ni mkoa! Lahaula!

Kauli ambayo inataka kufanana na hiyo ilishawahi kutolewa na Waziri mkuu Mizengo Pinda ambaye yeye hakuvuka mipaka ya kuidharau Zanzibar mpaka kuita mkoa bali yeye Pinda alisema kwake Zanzibar sio nchi. Lahaula!

Membe na Pinda ambao wameonyesha dhahiri kuidharau Zanzibar ni dhahiri shahiri wanaweza kufanya mambo makubwa kwa Zanzibar endapo watapewa madaraka makubwa wanaweza kuisambaratisha Zanzibar kutoka kuwa nchi hadi kuwa mkoa, kama wanavyodai.

Ipo siku naamini endapo Membe na Pinda wakifanikiwa kuwa viongozi wakubwa watatamani kuizibia mianya yote ya kimaendeleo na fursa stahiki kwa Wazanzibar. Tuwe nao makini haswaa nyakati hizi za kumpata Rais mpya wa awamu ya tano
kuna watu wanaamini zanzibar ni wilaya sawa tu na wilaya ya rufiji, wilaya ya makete etc pamoja na kwamba makete ni kubwa kuliko zenji, njombe au tukuyu ni kubwa kuliko zenji, same au biharamuro ni kubwa mno kuizidi zanzibar, sasa unchi wa zenji hadi utikise mkia unautoa wapi? tukiwaacha ninyi mjitegemee mtatusumbua sana kwasababu hamna uwezo bila bara piga uwa ukweli ndio huo.
 
Lowasa kawafanyia nn wazanzibar..au ni kuwaibia tu.....!!!
 
Susan najua tuko team moja washa moto lazima mzee achue nchi....teh teh teh....
 
kuna watu wanaamini zanzibar ni wilaya sawa tu na wilaya ya rufiji, wilaya ya makete etc pamoja na kwamba makete ni kubwa kuliko zenji, njombe au tukuyu ni kubwa kuliko zenji, same au biharamuro ni kubwa mno kuizidi zanzibar, sasa unchi wa zenji hadi utikise mkia unautoa wapi? tukiwaacha ninyi mjitegemee mtatusumbua sana kwasababu hamna uwezo bila bara piga uwa ukweli ndio huo.

Kwan sifa ya kuwa nchi inatokana na ukubwa wake ????
 
Kosa la Kayanza Peter Pinda ni lipi? Alinukuu Katiba aliyoapa kuilinda. Wanaosema Zanzibar ni nchi wanaogopa kuilinda Katiba waliyoapa kuilinda kwa kuchelea kelele za Wanzibar. Zanzibar haina majeshi yake wala Amiri jeshi wake. Kwa maneno wanaye lakini kikatiba hawana vyobo vyao vya ulinzi peke yao vipo vya jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Zanzibar ni nchi kamili ambayo ina serikali, Baraza la wawakilishi (Bunge) pamoja na mahakama ambazo zina ushirikiano wa mambo ya kimuungano na Tanzania Bara.

Ni jambo la ajabu na fedheha kubwa kuona mtu ama kiongozi yeyote yule kuipuuzia Zanzibar na kujenga dharau kwa watu na serikali yake kwa kutumia kete ya udogo wa kijiografia ama uchache wa watu.

Kwa nyakati tofauti tofauti tumewashuhudia Waziri wa mambo ya nchi za nje na ushirikiano wa kimataifa Mhe. Bernard Membe na Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda wakishiriki kuidharau na kuibomoa Zanzibar.

Tuanze na Bernard Membe. Membe haaminiki linapokuja suala la kuwahakikishia Wazanzibari muungano wa maridhiano, unaojali hali halisi, unaohitaji kuendeshwa kwa uwazi na ukweli, tena kwa kuzingatia kuwa watu wa nchi hizi mbili walishakuwa na mahusiano ya damu hata kabla ya hiyo 1964.

Membe anajulikana kuinyonga Zanzibar kwa kuifutia misaada ya kielimu ya Oman. Alitumia ukuu wake wa wizara anayoongoza akafuta misaada dakika chache kabla ya kusomwa tamko la kiushirikiano kati ya Tanzania na Oman alipokuja kuzuru nchini Waziri wa Elimu ya Juu wa Oman, Dk. Rawiyah Al Busaid, mzaliwa wa Oman kwa baba aliyezaliwa mjini Zanzibar miaka ya 1940.

Kama hiyo haitoshi Membe alishawahi kusema Bungeni kuwa Wazanzibar wasijitutumue kwani kwake Zanzibar anauona kama ni mkoa tu. Lahaula!

Watu ambao wana serikali yao, wana Rais, wana chombo chao cha kutunga sheria (Baraza la wawakilishi), wana vyombo vya ulinzi na usalama wana mahakama utaweza kuita Zanzibar ni mkoa? Hii jeuri na dharau anayoionyesha Membe kwa Wazanzibar ameitolea wapi? Eti Zanzibar ni mkoa! Lahaula!

Kauli ambayo inataka kufanana na hiyo ilishawahi kutolewa na Waziri mkuu Mizengo Pinda ambaye yeye hakuvuka mipaka ya kuidharau Zanzibar mpaka kuita mkoa bali yeye Pinda alisema kwake Zanzibar sio nchi. Lahaula!

Membe na Pinda ambao wameonyesha dhahiri kuidharau Zanzibar ni dhahiri shahiri wanaweza kufanya mambo makubwa kwa Zanzibar endapo watapewa madaraka makubwa wanaweza kuisambaratisha Zanzibar kutoka kuwa nchi hadi kuwa mkoa, kama wanavyodai.

Ipo siku naamini endapo Membe na Pinda wakifanikiwa kuwa viongozi wakubwa watatamani kuizibia mianya yote ya kimaendeleo na fursa stahiki kwa Wazanzibar. Tuwe nao makini haswaa nyakati hizi za kumpata Rais mpya wa awamu ya tano
 
Watu ambao wana serikali yao, wana Rais, wana chombo chao cha kutunga sheria (Baraza la wawakilishi), wana vyombo vya ulinzi na usalama wana mahakama
Zanzibar ina vyombo vya ulinzi na Usalama!

Mkuu wa Usalama wa Taifa Zanzibar anaitwa ustaadhi nani?

Mkuu wa majeshi ya Zanzibar anaitwa Mheshimiwa nani?

Zanzibar kuna mahakama independent? Hakuna jaji mwenye upeo wa kusikiliza kesi ya uchochezi ya Uamsho, wameletwa Kisutu, koti ya mahakimu wakazi tu!

Zanzibar kuna mahamaka? Ki dola ( ki territory tena wala sio ki dola ) ki territory hakina hata shule ya kufundisha sheria kitakuwa na mahakama yake independent kweli? Yani mpaka utaalam mnaenda abroad kujifunza, abroad ya Bongo!

Astakafululillah!
 
mimi cwezi kuwalaumu membe au pinda kwan wanasiasa wa zanzibar awajuhi mpaka now wanataka nini ktk muungano kipindi kile cha bunge la katiba wangeungana pamoja na kudai kile wakionacho ni bora kwa watu wa zanzibar lakini ilikuwa ni vituko hasa kwa wale waliokunywa maji ya kijani na njano
 
kuna watu wanaamini zanzibar ni wilaya sawa tu na wilaya ya rufiji, wilaya ya makete etc pamoja na kwamba makete ni kubwa kuliko zenji, njombe au tukuyu ni kubwa kuliko zenji, same au biharamuro ni kubwa mno kuizidi zanzibar, sasa unchi wa zenji hadi utikise mkia unautoa wapi? tukiwaacha ninyi mjitegemee mtatusumbua sana kwasababu hamna uwezo bila bara piga uwa ukweli ndio huo.

Kwaiyo nchi hupimwa kwa ukubwa? Hata nzi ana akili kushinda wewe.....

Zanzibar bila bara haiwezekani? Kwa lipi kwani?
 
Zanzibar ina vyombo vya ulinzi na Usalama!

Mkuu wa Usalama wa Taifa Zanzibar anaitwa ustaadhi nani?

Mkuu wa majeshi ya Zanzibar anaitwa Mheshimiwa nani?

Zanzibar kuna mahakama independent? Hakuna jaji mwenye upeo wa kusikiliza kesi ya uchochezi ya Uamsho, wameletwa Kisutu, koti ya mahakimu wakazi tu!

Zanzibar kuna mahamaka? Ki dola ( ki territory tena wala sio ki dola ) ki territory hakina hata shule ya kufundisha sheria kitakuwa na mahakama yake independent kweli? Yani mpaka utaalam mnaenda abroad kujifunza, abroad ya Bongo!

Astakafululillah!

Sasa kama kweli c nchi ya nn kupeleka vifaru na mizinga kutoka tanganyika kila uchaguzi?ukoloni mweusi lazima ukome zanzibar mwaka huu.
 
Ibara ya 105 (3), ya Katiba ya CCM ya 1977 toleo la 2012 inasema.
Mkutano Mkuu unaweza kuthibitisha, kubadili, kukataa au kuvunja uamuzi wowote uliotolewa na kikao chochote cha chini yake au na yeyote wa CCM

NB: Vikao vya chini ni Kamati Kuu na Halmashauri Kuu. Na YEYOTE ni kiongozi yeyote wa Chama na mwanachama wa CCM.
 
Kwaiyo nchi hupimwa kwa ukubwa? Hata nzi ana akili kushinda wewe.....

Zanzibar bila bara haiwezekani? Kwa lipi kwani?
sasa zanzibar ina tofauti gani na wilaya ya Uyui? au wilaya ya bahi?
 
bora zanzibar iwe nchi maana ata mauritius ina watu laki saba na inawafunga mpira tanzania yenye kutoa mauritius zaidi ya ishirin
 
Back
Top Bottom