Wazanzibar hawana shukrani

Wazanzibar hawana shukrani

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,633
Reaction score
7,021
Nilipokuwa sekondari tulisoma na wanafunzi wasioona.Siku moja ilikuwa siku ya kugawiwa ndizi(matunda) na zikagawanywa kila mtu apate angalau moja.Hata hivyo share ya wasioona ilitengwa pembeni ili wagawane wao wenyewe kwani ilihofiwa wakichanganywa na wengine wanaweza kukosa mgao wao.Kilichotokea ni kwamba baadhi ya wanafunzi wa kidato cha kwanza walikosa kabisa ndizi wakati wasioona walipata ndizi tano tano!Wale wanaoona waliamua kwenda kuwaomba wasioona.Wasioona waliwanyima na walisikika wakisema"Kama sisi tusioona tumepata tano,je ninyi mnaoona si mtakuwa mmepata hata kumi?"Wazanzibar wanafaidika sana na muungano lakini kelele nyingi za kero zinatoka kwao!Watu hawa hawana shukrani na sishauri waendelee kubebwa huku wakitutapikia!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Nilipokuwa sekondari tulisoma na wanafunzi wasioona.Siku moja ilikuwa siku ya kugawiwa ndizi(matunda) na zikagawanywa kila mtu apate angalau moja.Hata hivyo share ya wasioona ilitengwa pembeni ili wagawane wao wenyewe kwani ilihofiwa wakichanganywa na wengine wanaweza kukosa mgao wao.Kilichotokea ni kwamba baadhi ya wanafunzi wa kidato cha kwanza walikosa kabisa ndizi wakati wasioona walipata ndizi tano tano!Wale wanaoona waliamua kwenda kuwaomba wasioona.Wasioona waliwanyima na walisikika wakisema"Kama sisi tusioona tumepata tano,je ninyi mnaoona si mtakuwa mmepata hata kumi?"Wazanzibar wanafaidika sana na muungano lakini kelele nyingi za kero zinatoka kwao!Watu hawa hawana shukrani na sishauri waendelee kubebwa huku wakitutapikia!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

hahaha, methali na vitendawili havitosaidia kitu kwa hali ilivyo hivi sasa, Lukuvi ndio ameharibu kabisa,kila siku wazanzibari walikuwa wanalalamika kuwa wanakandamizwa ma mfumo wa kikiristo Lukuvi amethibitisha wanayoyasema wazanzibari ni kweli

Mkuu,tafuta video ya Lukuvi uiangalie
 
Achaneni na Lukuvi. Ukweli umewauma sana sio? Ha ha ha!!! Mlifikiri kutukana ukristo hadharani kila siku hakuna wakristo watakao rise kuwasuta na maovu yenu???:israel: Tafuteni agenda nyingine UKAWA wote tunawaelewa lakini kuliingiza hili la Lukuvi sio mahali pake wazee. Kila mtu ana takiwa kuheshimu imani ya mwenzake. Hata kama kawatukana, waislamu wamefanya mihadhara mingapi kututukania Yesu wetu????
 
Nilipokuwa sekondari tulisoma na wanafunzi wasioona.Siku moja ilikuwa siku ya kugawiwa ndizi(matunda) na zikagawanywa kila mtu apate angalau moja.Hata hivyo share ya wasioona ilitengwa pembeni ili wagawane wao wenyewe kwani ilihofiwa wakichanganywa na wengine wanaweza kukosa mgao wao.Kilichotokea ni kwamba baadhi ya wanafunzi wa kidato cha kwanza walikosa kabisa ndizi wakati wasioona walipata ndizi tano tano!Wale wanaoona waliamua kwenda kuwaomba wasioona.Wasioona waliwanyima na walisikika wakisema"Kama sisi tusioona tumepata tano,je ninyi mnaoona si mtakuwa mmepata hata kumi?"Wazanzibar wanafaidika sana na muungano lakini kelele nyingi za kero zinatoka kwao!Watu hawa hawana shukrani na sishauri waendelee kubebwa huku wakitutapikia!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Mimi naona wazanzibar wanajua wafanyalo ila sisi watanganyika hatujui tutokako wa tuendako tunaburuzwa tu ebu tutafakari muda umefika
 
Sio hivyo,ub a
Guzi utawatafuna ,kwani sasa kuna marumbano
 
Huu muungano ni mzigo kwa tanganyika bora uvunjike. Hawa jamaa hawachangii chochote ktk gharama za muungano lakin ndio wa kwanza kulalamika tumewachoka nendeni zenu mkatengeneze hiyo dubai mnayoiota.
 
Wapemba wanadai mipaka ya mjerumani na mwarabu,IKULU Ya Dar ni zanzibar , tanga Hadi mtwara yao
 
Nilipokuwa sekondari tulisoma na wanafunzi wasioona.Siku moja ilikuwa siku ya kugawiwa ndizi(matunda) na zikagawanywa kila mtu apate angalau moja.Hata hivyo share ya wasioona ilitengwa pembeni ili wagawane wao wenyewe kwani ilihofiwa wakichanganywa na wengine wanaweza kukosa mgao wao.Kilichotokea ni kwamba baadhi ya wanafunzi wa kidato cha kwanza walikosa kabisa ndizi wakati wasioona walipata ndizi tano tano!Wale wanaoona waliamua kwenda kuwaomba wasioona.Wasioona waliwanyima na walisikika wakisema"Kama sisi tusioona tumepata tano,je ninyi mnaoona si mtakuwa mmepata hata kumi?"Wazanzibar wanafaidika sana na muungano lakini kelele nyingi za kero zinatoka kwao!Watu hawa hawana shukrani na sishauri waendelee kubebwa huku wakitutapikia!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Wzanzibari wanaakili ila Watanganyika ni misukule ya Nyerere, hadi leo bado wanamuogopa.
 
Wapemba wanadai mipaka ya mjerumani na mwarabu,IKULU Ya Dar ni zanzibar , tanga Hadi mtwara yao

Kama wanataka kichapo cha mbwa mwizi walete habari za mipaka ya Mwarabu na Mjerumani.
 
Mimi naona wazanzibar wanajua wafanyalo ila sisi watanganyika hatujui tutokako wa tuendako tunaburuzwa tu ebu tutafakari muda umefika

ya zanzibar hayana tofauti na dudani kusini, ni sawa kabisaaa wanayoitaka zanzibar yenye mamlaka kamili ni wsle watu wenye uroo wa madaraka, tamaaa ya madaraka na roho za kibaguzi, hakuna zanzibar nje ya muungano, nje ya muungana kuna unguja na pemba. wazanzibar wa kawaida msidanganyike na maslimu sharifuu, kuweni makini mtakuja kujuta, shauri yenu, angalia libya leo, angalia iraq leo, angalia syria leo misri kote shidaaa tu, wazanziber be carefully na wanasiasaa hasa akija jussa, maalimu sharifu na akina UAMSHO mm kimyaaa
 
Wzanzibari wanaakili ila Watanganyika ni misukule ya Nyerere, hadi leo bado wanamuogopa.

wazanzibar ni misukule ya maalimu sefu sharifuu mtaona hakiananii mtaona sisi hstuwataki hta kidogooo ninui ni mizigo tuu hamna faida yeyoteer
 
Wewe chogo huna ubavu huna elimu maskini hata kula yako inakupa mashaka
 
Hawa jamaa wanafaidika sana na hiki kimuungano .maana wao wapo kila corner ya Tanganyika na baya zaidi wanajichukua ardhi yetu kama ya babu yao wakati sisi haturuhucwi hata sentimeta moja zanzibar et tu kwa sababu sisi cyo wazanzibar .sasa ni muungano ngani wa kuwapendelea upande mmoja tu?tupe Tanganyika yetu ,tuanziashe operation kimbunga kuondoa wahamiaji haram toka Zanzibar.utawakuta kila corner, tena wanaitana toka pemba kwa makundi na kuzaa wtt wengi sana kama vile wanampango wa kuichukua Tanganyika wakati huo huo wanautukana huo muungano tena kwa matusi na kejeri .
 
Back
Top Bottom