johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,141
Katika vitu ambavyo Wayahudi wamepungukiwa ni Karama ya Utambuzi Ndio sababu hata Nchi yao hawaijui.
Netanyahu anasema hii Vita itakuwa ndefu, nakubaliana naye kwa 100%.
Israel inajua kuna Kundi la Hamas lakini hawawajui ni Nani Ndio sababu waishia kubomoa Majengo na Miundombinu.
Ni hawa hawa Wayahudi walioishi na Yesu miaka 33 lakini walishindwa "kumtambua" na kuwalazimu kumpa Rushwa Yuda Iskarioti ili awathibitishie Yesu ni yupi.
Na walivyo hafifu kwenye Utambuzi ilimlazimu Yuda Iskarioti awaambie " Nitakayembusu huyo Ndiye Mkamateni"
Fikiria kwa mfano Yuda Iskarioti angeamua kumbusu mwanafunzi mwingine na Siyo Yesu.
Hivyo Israel inapigana na Watu isiowajua ni kama vile wanabahatisha Ndio unaona Wanaokufa ni Wanawake na Watoto.
Ni mpaka atokee mtu wa kuwabusu Hamas maana yake Wayahudi watakuwa Hoi bin taaban.
Mungu wa mbinguni awabariki.
Netanyahu anasema hii Vita itakuwa ndefu, nakubaliana naye kwa 100%.
Israel inajua kuna Kundi la Hamas lakini hawawajui ni Nani Ndio sababu waishia kubomoa Majengo na Miundombinu.
Ni hawa hawa Wayahudi walioishi na Yesu miaka 33 lakini walishindwa "kumtambua" na kuwalazimu kumpa Rushwa Yuda Iskarioti ili awathibitishie Yesu ni yupi.
Na walivyo hafifu kwenye Utambuzi ilimlazimu Yuda Iskarioti awaambie " Nitakayembusu huyo Ndiye Mkamateni"
Fikiria kwa mfano Yuda Iskarioti angeamua kumbusu mwanafunzi mwingine na Siyo Yesu.
Hivyo Israel inapigana na Watu isiowajua ni kama vile wanabahatisha Ndio unaona Wanaokufa ni Wanawake na Watoto.
Ni mpaka atokee mtu wa kuwabusu Hamas maana yake Wayahudi watakuwa Hoi bin taaban.
Mungu wa mbinguni awabariki.