Mapochi nayo bwerere na bei zetu ni nafuu sanaHabari wana Jf,Simba Viatu tunajihusisha na uuzaji wa Viatu vya Mtumba (Raba na Mokaz) pia tunauza mapochi ya kike,Walet pamoja na mabegi ya mtumba Grade A
Offisi zipo Ilala-Karume
0689 150 968
0625 557 395View attachment 2611662View attachment 2611663View attachment 2611664View attachment 2611666View attachment 2611667View attachment 2611669View attachment 2611670
Hii ipo kubwa namba 45Mkuu bei zako zina uhalisia. Snicker ya hivi namba 40 au 41 unayo boss?
View attachment 2611694
Hebu cheki simu au browser yako mzeePicha picha picha
Quality quality quality
Jitahidi hapo
Ebwana namba 42 ni nitaogelea humo hadi basi. Sema ipost wenye mguu wao wanaweza kuielewaHii ipo kubwa namba 45
Pia kuna Lacoste nyeupe namba 42 kama hiyo uliyopost
Dah mnatuonea sana. Moka ninazo kimtindo bob sema nitaendelea kupitia huu uziusijali boss kwa mguu wako tunazo mokazi
Unauza brand au kiatu?HUGO BOSS mnyama Og
Namba: 42
Bei:Tshs 55,000/=
Location:Karume,Ilala
0689150968
Nb:Kwetu unavaa Bland kwa bei nafuu.View attachment 2621594