Habari zenu wajameni,
Wauza mahindi wamekua na tabia ambayo binafsi siipendi na inakera nakuniharibia appetite ya kula mahindi yao.
Utakuta mtu anachoma mahindi yanavutia hadi umate unakutoka, ukikaribia kwa ajili ya kununua na kumwambia unataka la moto ndio hapo panapokera, utakuta anaanza kuyakumbatia kwa kuyashikashika mahindi yale akijua fika hajanawa mikono na ametoka kushika hela.
Mimi kama nataka hindi in bora nilisimamie wakati linachomwa muuzaji akisha lishikashika na kulikumbatia kwa midole yake hua naondoka bila habari, wewe je?
Wauza mahindi wamekua na tabia ambayo binafsi siipendi na inakera nakuniharibia appetite ya kula mahindi yao.
Utakuta mtu anachoma mahindi yanavutia hadi umate unakutoka, ukikaribia kwa ajili ya kununua na kumwambia unataka la moto ndio hapo panapokera, utakuta anaanza kuyakumbatia kwa kuyashikashika mahindi yale akijua fika hajanawa mikono na ametoka kushika hela.
Mimi kama nataka hindi in bora nilisimamie wakati linachomwa muuzaji akisha lishikashika na kulikumbatia kwa midole yake hua naondoka bila habari, wewe je?