Wa Mjengoni
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 480
- 128
Naseeb ndiye a.k.a yake Diamond, Ambwene a.k.a yake AY, Marehemu footbalist Ezekiel Grayson aliitwa jujuman n.k.
Nadhani hizi a.k.a wanatumia wasanii na watu wengine wenye vipaji mbalimbali kuvuta hisia za mashabiki wao.
Swali langu ni kwamba tunapokuwa kwenye nyumba za ibada zetu ni ustaarabu kweli Watumishi kuwa na a.k.a kama Transformer, Caterpillar, au a.k.a ya yule mwingine nimesahau yuko Star TV ameanza kuonyesha kipindi karibuni, zinasaidia nini au ili iweje? Ebu nijulisheni.
Tumezoea kusikia tu Askofu Kakobe, Askofu Malasusa, Kardinali Pengo n.k., bila a.k.a. sasa tunakokwenda ndo wapi?
Nadhani hizi a.k.a wanatumia wasanii na watu wengine wenye vipaji mbalimbali kuvuta hisia za mashabiki wao.
Swali langu ni kwamba tunapokuwa kwenye nyumba za ibada zetu ni ustaarabu kweli Watumishi kuwa na a.k.a kama Transformer, Caterpillar, au a.k.a ya yule mwingine nimesahau yuko Star TV ameanza kuonyesha kipindi karibuni, zinasaidia nini au ili iweje? Ebu nijulisheni.
Tumezoea kusikia tu Askofu Kakobe, Askofu Malasusa, Kardinali Pengo n.k., bila a.k.a. sasa tunakokwenda ndo wapi?