Najaribu kuwaza tu mfano ikifanyika sensa ya utambuzi Wa akili za watu duniani ( kutafuta nchi yenye watu wenye akili sana nchi ya kwanza hadi ya mwisho) unafikili Tanzania inaweza shika namba ngapi na kwa nini?
Najaribu kuwaza tu mfano ikifanyika sensa ya utambuzi Wa akili za watu duniani ( kutafuta nchi yenye watu wenye akili sana nchi ya kwanza hadi ya mwisho) unafikili Tanzania inaweza shika namba ngapi na kwa nini?