Vesper-valens
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 5,280
- 7,375
Habari wakuu, Ikawe heri sikukuu hii ya kuzaliwa kwa Yesu christo
Kumekuwa na hii kasumba ya watu kupenda kujazana sehemu za starehe ambazo zinabamba.. kwa mfano kwenye bar zinavovuma na kujaza watu hata club.
Ila Cha ajabu wengi wanakuja kushangaa tuu na wengine hushindwa hata kulipa viingilio na kubaki nje.
Mabounsa wanakua kwenye wakati mgumu wa kuwafukuza watu kila mara lakini bado wanaendelea kukaa nje bila sababu ya msingi.
Wanaokuja purposely kuenjoy na ku have fun ni wachache mnoo... sijui ni vyuma vimekaza mnoo au vipi
Nasema Uongo Ndugu zangu?
Mitano tena 👊
Kumekuwa na hii kasumba ya watu kupenda kujazana sehemu za starehe ambazo zinabamba.. kwa mfano kwenye bar zinavovuma na kujaza watu hata club.
Ila Cha ajabu wengi wanakuja kushangaa tuu na wengine hushindwa hata kulipa viingilio na kubaki nje.
Mabounsa wanakua kwenye wakati mgumu wa kuwafukuza watu kila mara lakini bado wanaendelea kukaa nje bila sababu ya msingi.
Wanaokuja purposely kuenjoy na ku have fun ni wachache mnoo... sijui ni vyuma vimekaza mnoo au vipi
Nasema Uongo Ndugu zangu?
Mitano tena 👊