Nina wasiwasi ww Pdidy ni mmoja wa vibaka wa pale Barack Obama Drive, haiwezekani juzi umeshuhudia mtu anaporwa eneo hilo hilo na leo tena umeshuhudia???
Noooo lazima uisadie police bwana!
This is danger; ndio maana siku hizi Ikulu kuna ulinzo mzito, jamaa wa Tiss wanazunguka ukuta wa Ikulu wakiwa full combat na SMG zikiwa on guard.
Out of curiosity....... kila haya matukio yakitokea....... pdidy unakuwa either karibu au umepita hapo! Dah
Nina wasiwasi ww Pdidy ni mmoja wa vibaka wa pale Barack Obama Drive, haiwezekani juzi umeshuhudia mtu anaporwa eneo hilo hilo na leo tena umeshuhudia???
Noooo lazima uisadie police bwana!
Nina wasiwasi ww Pdidy ni mmoja wa vibaka wa pale Barack Obama Drive, haiwezekani juzi umeshuhudia mtu anaporwa eneo hilo hilo na leo tena umeshuhudia???
Noooo lazima uisadie police bwana!