divino
Member
- Sep 19, 2017
- 62
- 77
Mtu kukata tamaa ya kusoma chuo kikuu kwa hofu ya kuto pata ajira.
Mtu kukata tamaa ya kupenda kwa hofu ya kutendwa.
Mtu kuogopa kufanya biashara fulani kwa hofu ya kupata hasara.
Watu wa namna hii wangepewa option na Mungu ya kuzaliwa wangekataa kwa hofu ya kufa.
Nyingine mtaongeza!
Mtu kukata tamaa ya kupenda kwa hofu ya kutendwa.
Mtu kuogopa kufanya biashara fulani kwa hofu ya kupata hasara.
Watu wa namna hii wangepewa option na Mungu ya kuzaliwa wangekataa kwa hofu ya kufa.
Nyingine mtaongeza!