Watu mnaojua haya mambo hebu njooni mnifafanulie hili

General Galadudu

JF-Expert Member
Nov 7, 2015
1,837
2,119
Leo nakuja tofauti kabisa na nilivozoeleka, naomba sana msaada wa ufafanuzi juu ya hii ndoto niliyoota leo na nimeamka bado imekisonga sana kichwa changu...... kwny uzao upande wa mama yangu walikuwa 6, wanaume wawili ambao ni wajomba zangu na wanawake wanne ambao ni mama zangu wakubwa kwa maana ya kwamba mama aliyenizaa ni wa mwisho kuzaliwa kwa hiyo wale wengine wote ni wakubwa kwake.

Wale wajomba zangu na mama zangu wakubwa wote wamefariki, na mama mzazi pia amefariki tarehe 30/08/2012......lakini sasa....... wa mwisho kufariki ni ma mkubwa ambae ni wa kwanza kuzaliwa, yeye alifariki tarehe 20/08/2013 hapo unaona kuna utofauti kdg tu wa mpishano kwny vifo vyao kati ya mama na ma mkubwa (na nilipopata mtoto wangu wa kwanza wa kike miaka mingi kidogo iliyopita nilimuita jina la huyo mama yangu mkubwa, wakati huo bado wote walikuwa hai) kwa sasa hivi sina mtu wa kumuoneshea kuwa yule ni mjomba wangu au yule ni mama yangu mkubwa/mdogo au mzazi, wote ardhi imemeza...... sasa ndoto iko namna hii.

Ucku wa kuamkia leo eti nimeota nipo mimi, mama na huyo ma mkubwa ambae ndo wa kwanza kuzaliwa kwao na amefariki wa mwisho, tumeenda kumsalimia dada yangu ambae ni mtoto wa huyo marehemu mama yangu mkubwa yeye ameolewa na diwani, tuliandaliwa chakula lakini kilichelewa kidogo kwa hiyo mama mkubwa akaanza kusinzia...... kwa kabila yetu, mtoto wako ukimpa jina la mzazi wako basi kwa yule mzazi inakuwa automatically kwamba yeye ni mwanao, kwa hyo nikamchukua mama mkubwa aliyekuwa anasinzia ambae ni mtoto wangu nikambeba miguuni, halafu mama ambae ni mdogo wa huyo eti akaanza kulia anasema kwamba na yeye nimbebe.......!!

Jamani hicho ndo kimenichanganya sana naomba kujua maana ya hii ndoto, maana tangu wafariki haipiti siku mbili au tatu naota mambo mbalimbali kuhusu mama mzazi, wakati mwingine naota tunaongea, tunataniana nk. sishangai sana..... maana mimi kiasili napenda sana mizaha, kwa hiyo haikuwa ajabu kukuta namtania mama kwa utani wa kawaida tu, lakini kwa ndoto hii ya leo imenichanganya kwa kweli.
 
Usichanganyikiwe
Kuota watu waliokufa hasa kama uliwapenda sio jambo la ajabu...itachukua muda sana mpaka watoke kwenye akili yako kabisa.

Pia kama kwenu ni watu wa kuwaenzi wafu basi ujue huwa wanakuja kukutembelea mara kwa mara.Hasa kama kwenu ni watu wa matambiko.

Vilevile yawezekana kuna ujumbe uliojificha kwenye ndoto yako.Ukizaa binti wa kike mpe jina la mama yako.Ndilo nafikiri analilia.. kuenziwa .

Kama hupendi kabisa hayo mambo jikite kwenye maombi mazito mpaka wakija wakose namna ya kuendeleza mawasiliano na wewe.
 
Hawana neno endelea kufajirika nao kwenye ndoto, fanya mambo yanayo mpendeza Mola! Kawasaidie yatima au wazee au wagonjwa!
 
Usichanganyikiwe
Kuota watu waliokufa hasa kama uliwapenda sio jambo la ajabu...itachukua muda sana mpaka watoke kwenye akili yako kabisa.

Pia kama kwenu ni watu wa kuwaenzi wafu basi ujue huwa wanakuja kukutembelea mara kwa mara.Hasa kama kwenu ni watu wa matambiko.

Vilevile yawezekana kuna ujumbe uliojificha kwenye ndoto yako.Ukizaa binti wa kike mpe jina la mama yako.Ndilo nafikiri analilia.. kuenziwa .

Kama hupendi kabisa hayo mambo jikite kwenye maombi mazito mpaka wakija wakose namna ya kuendeleza mawasiliano na wewe.
Ushauri mzuri huu.
 
Usichanganyikiwe
Kuota watu waliokufa hasa kama uliwapenda sio jambo la ajabu...itachukua muda sana mpaka watoke kwenye akili yako kabisa.

Pia kama kwenu ni watu wa kuwaenzi wafu basi ujue huwa wanakuja kukutembelea mara kwa mara.Hasa kama kwenu ni watu wa matambiko.

Vilevile yawezekana kuna ujumbe uliojificha kwenye ndoto yako.Ukizaa binti wa kike mpe jina la mama yako.Ndilo nafikiri analilia.. kuenziwa .

Kama hupendi kabisa hayo mambo jikite kwenye maombi mazito mpaka wakija wakose namna ya kuendeleza mawasiliano na wewe.
Hilo la jina naona uko sahihi, cna mtoto niliyewahi kumpa jina la mama
 
Hapana sihitaji, wao wapumzike huko walipo na mi niendelee na maisha yangu yaliyobaki hapa duniani
 
Simple - Kitendo cha kumchukua mama yako mkubwa na kumweka miguuni na kumbembeleza tayari tafsiri yake ni kwamba unamuenzi na yeye aliko anafurahi kwa yote unayoyafanya hapa duniani .. kubwa zaidi ni lile la kumpa mwanao jina lake na nafikiri mengine mengi ambayo unaendelea kuyafanya ana- appriciate sana na ndiyo maana still bado anadeka kwako - she is proud of you.

Yule mwingine aliyeanza kulia ambaye ndiye mama yako mzazi - yeye anaonyesha wivu., pia naye anataka same service, all what your doing kwa dadake na yeye pia anahitaji pia- jaribu kuangalia mambo ambayo yanamuhusu hapa duniani na una uwezo nayo kuyafanya please do it. - kwa sababu ni mama yako mzazi basi jaribu kuangalia pending issues ambazo alikuwa na ndoto nazo zimalizie. na kama inawezekana ukipata mtoto mwingine wa kike basi unaweza kumpa jina lake pia.


Otherwise ni ndoto nzuri, nafikiri ina blessing sababu wana appreciate huko waliko what you have done so far, ingawa mmoja bado anahitaji concern yako zaidi - Jaribu kufanya chochote kile kumuenzi mama yako mzazi - anataka na yeye akae miguuni uwabembeleze wote.
 
Leo nakuja tofauti kabisa na nilivozoeleka, naomba sana msaada wa ufafanuzi juu ya hii ndoto niliyoota leo na nimeamka bado imekisonga sana kichwa changu...... kwny uzao upande wa mama yangu walikuwa 6, wanaume wawili ambao ni wajomba zangu na wanawake wanne ambao ni mama zangu wakubwa kwa maana ya kwamba mama aliyenizaa ni wa mwisho kuzaliwa kwa hiyo wale wengine wote ni wakubwa kwake.

Wale wajomba zangu na mama zangu wakubwa wote wamefariki, na mama mzazi pia amefariki tarehe 30/08/2012......lakini sasa....... wa mwisho kufariki ni ma mkubwa ambae ni wa kwanza kuzaliwa, yeye alifariki tarehe 20/08/2013 hapo unaona kuna utofauti kdg tu wa mpishano kwny vifo vyao kati ya mama na ma mkubwa (na nilipopata mtoto wangu wa kwanza wa kike miaka mingi kidogo iliyopita nilimuita jina la huyo mama yangu mkubwa, wakati huo bado wote walikuwa hai) kwa sasa hivi sina mtu wa kumuoneshea kuwa yule ni mjomba wangu au yule ni mama yangu mkubwa/mdogo au mzazi, wote ardhi imemeza...... sasa ndoto iko namna hii.

Ucku wa kuamkia leo eti nimeota nipo mimi, mama na huyo ma mkubwa ambae ndo wa kwanza kuzaliwa kwao na amefariki wa mwisho, tumeenda kumsalimia dada yangu ambae ni mtoto wa huyo marehemu mama yangu mkubwa yeye ameolewa na diwani, tuliandaliwa chakula lakini kilichelewa kidogo kwa hiyo mama mkubwa akaanza kusinzia...... kwa kabila yetu, mtoto wako ukimpa jina la mzazi wako basi kwa yule mzazi inakuwa automatically kwamba yeye ni mwanao, kwa hyo nikamchukua mama mkubwa aliyekuwa anasinzia ambae ni mtoto wangu nikambeba miguuni, halafu mama ambae ni mdogo wa huyo eti akaanza kulia anasema kwamba na yeye nimbebe.......!!

Jamani hicho ndo kimenichanganya sana naomba kujua maana ya hii ndoto, maana tangu wafariki haipiti siku mbili au tatu naota mambo mbalimbali kuhusu mama mzazi, wakati mwingine naota tunaongea, tunataniana nk. sishangai sana..... maana mimi kiasili napenda sana mizaha, kwa hiyo haikuwa ajabu kukuta namtania mama kwa utani wa kawaida tu, lakini kwa ndoto hii ya leo imenichanganya kwa kweli.
Ndugu, maana ya ndoto yako ni kuwa unailea vizuri familia yako (watoto) na wazazi wako walifurahishwa na jina ulompa mwanao, na linamfaa sana. Pia wazazi (au mizimu ya kwenu, kama unaamini) wanataka mtoto mwingine. Kwa hiyo ndugu fanya hima upate watoto wa kutosha ungali bado na nguvu.
 
Means. Mama yako naye anataka kubebwa, yaani hawe mwanao ikimaanisha umzae, ukipata mtoto wa kike mpe jina la mama yako....NIONAVYO.
 
Kata huo muunganiko wako na hao wafu. Mtu akifa amekufa tayari
Kuna kuota kwa mawazo au kuota sababu mizimu inabeba sura za hao watu walio kufa

Na kabla hujampa mtoto jina liombee, hata kama umempenda vip mzazi majina ya kurithi si mazuri hata kidogo huwez jua alikuwa na nini ndani yake au alibeba nin katika familia yao

Hivyo jina linawakilisha mtu tabia ya mtu na nafsi ya mtu hapo hapo

Vyote alivyo kuwa navyo muhisika vinahamia kwa mrithi wa jina

Tuje ktk simple logic
Ukipewa urithi, unarithi vitu vya muhusika ee kama pesa nyumba mali au chochote kile ghafla vyote vinakuwa vyako unamiliki ww

Na Jina hivyo hivyo. Usipo jua kuliombea hilp jina kukata kitu chochote kilicho beba hilo jina iwe tabia, au magonjwa,au mizimu, kuwa na uhakika itahamia kwa muhusika yaan mrithi wa jina

Tunaishi ktk familia za Kiafrica zaman za ujinga tulienenda ktk hayo mambo na wazaz au mababu walikuwa huko ktk mizimu
Hivyo usipo jinasua au jitenga kwa kuomba na kwa kufunga huwez toka

Sijajua imani yako bt kwa imani yangu
Damu ya Yesu inatutenga ktk kutoka katika giza na kutuingiza ktk nuru

Inakata kila kiambaza kilicho tutenga na uso wa Mungu na inatupatanisha na madhabahu ya Mungu

Kama tuliuzwa damu ya Yesu inatununua na kutupatanisha na Mungu

Kama kuna sadaka iliyo kushika, damu ya Yesu ni sadaka inayofuta sadaka zote na kukupa uhuru.

*sijajua nini ndoto yako nzima ila kwa uande wangu najua kuota wafu ni roho za mizimu ningekata hiyo connection yao na ningefunga mlango wanao upitia kwa damu ya Yesu. Na kuachilia damu ya Yesu inayo nena mema ili ktk nndoto vipite vya Mungu tu

* usisahau kumuombea na huyo mtoto ( Jina)

Kwa uchache ni hayo.Mungu akutoe ulipo kwama
 
Kata huo muunganiko wako na hao wafu. Mtu akifa amekufa tayari
Kuna kuota kwa mawazo au kuota sababu mizimu inabeba sura za hao watu walio kufa

Na kabla hujampa mtoto jina liombee, hata kama umempenda vip mzazi majina ya kurithi si mazuri hata kidogo huwez jua alikuwa na nini ndani yake au alibeba nin katika familia yao

Hivyo jina linawakilisha mtu tabia ya mtu na nafsi ya mtu hapo hapo

Vyote alivyo kuwa navyo muhisika vinahamia kwa mrithi wa jina

Tuje ktk simple logic
Ukipewa urithi, unarithi vitu vya muhusika ee kama pesa nyumba mali au chochote kile ghafla vyote vinakuwa vyako unamiliki ww

Na Jina hivyo hivyo. Usipo jua kuliombea hilp jina kukata kitu chochote kilicho beba hilo jina iwe tabia, au magonjwa,au mizimu, kuwa na uhakika itahamia kwa muhusika yaan mrithi wa jina

Tunaishi ktk familia za Kiafrica zaman za ujinga tulienenda ktk hayo mambo na wazaz au mababu walikuwa huko ktk mizimu
Hivyo usipo jinasua au jitenga kwa kuomba na kwa kufunga huwez toka

Sijajua imani yako bt kwa imani yangu
Damu ya Yesu inatutenga ktk kutoka katika giza na kutuingiza ktk nuru

Inakata kila kiambaza kilicho tutenga na uso wa Mungu na inatupatanisha na madhabahu ya Mungu

Kama tuliuzwa damu ya Yesu inatununua na kutupatanisha na Mungu

Kama kuna sadaka iliyo kushika, damu ya Yesu ni sadaka inayofuta sadaka zote na kukupa uhuru.

*sijajua nini ndoto yako nzima ila kwa uande wangu najua kuota wafu ni roho za mizimu ningekata hiyo connection yao na ningefunga mlango wanao upitia kwa damu ya Yesu. Na kuachilia damu ya Yesu inayo nena mema ili ktk nndoto vipite vya Mungu tu

* usisahau kumuombea na huyo mtoto ( Jina)

Kwa uchache ni hayo.Mungu akutoe ulipo kwama
Uko sahihi kabisa..ndugu niseme hivi hakuna tena mahusiano ya mtu aliye hai na aliyefariki cha msingi hapa ni wewe kuishi Maisha ya kumpendeza Mungu ili ikifika siku ya kuondoka hapa Duniani ukapate kuishi Milele huko Mbinguni, Ndoto zingine zitakuja kwetu kama tunawaza sana kwahiyo wakati usiku it reflect Yale mawazo na kutupa hizo Ndoto.Cha kujifunza tusiwe wepese sana kuogopa watu waliokufa na Maisha yetu wao wameshaondoka hawana nafasi yoyote Ile ktk Maisha yetu Kama kazi tufanye,shule tusome na tuwekeze ktk miradi mbalimbali tusije waza hao waliokufa watatupatia hivi tutakuja kuwa masikini!
 
Nikuulize swali?je shemeji bado anauwezo wakuendelea na uzazi?kama ndio basi jitahidi upate mtoto wakike umuite jina la mama yako mzazi,au huyo Dada yako wa mama mkubwa kama anauzazi akipata mtoto wakike amuite kwajina la mama yake mdogo ambaye ni mama yako.Hapo inaonyesha mama yako alitamani kuacha jina lake haswa kwa damu yako
 
Usichanganyikiwe
Kuota watu waliokufa hasa kama uliwapenda sio jambo la ajabu...itachukua muda sana mpaka watoke kwenye akili yako kabisa.

Pia kama kwenu ni watu wa kuwaenzi wafu basi ujue huwa wanakuja kukutembelea mara kwa mara.Hasa kama kwenu ni watu wa matambiko.

Vilevile yawezekana kuna ujumbe uliojificha kwenye ndoto yako.Ukizaa binti wa kike mpe jina la mama yako.Ndilo nafikiri analilia.. kuenziwa .

Kama hupendi kabisa hayo mambo jikite kwenye maombi mazito mpaka wakija wakose namna ya kuendeleza mawasiliano na wewe.


There's nothing wrong kutembelewa na mzimu wa mzazi wako au hata rafikiyo.....unaambiwa the spirit never dies ila mwili tu ndiyo unakufa. Mwanadamu unapolala usiku, spirit yako hutoka na kutembea ndipo inakutana na spirits hizi zingine. Haya yote ni maajabu ya Mungu na wala si dhambi hata kidogo, tusipende kupotosha watu.
 
Kata huo muunganiko wako na hao wafu. Mtu akifa amekufa tayari
Kuna kuota kwa mawazo au kuota sababu mizimu inabeba sura za hao watu walio kufa

Na kabla hujampa mtoto jina liombee, hata kama umempenda vip mzazi majina ya kurithi si mazuri hata kidogo huwez jua alikuwa na nini ndani yake au alibeba nin katika familia yao

Hivyo jina linawakilisha mtu tabia ya mtu na nafsi ya mtu hapo hapo

Vyote alivyo kuwa navyo muhisika vinahamia kwa mrithi wa jina

Tuje ktk simple logic
Ukipewa urithi, unarithi vitu vya muhusika ee kama pesa nyumba mali au chochote kile ghafla vyote vinakuwa vyako unamiliki ww

Na Jina hivyo hivyo. Usipo jua kuliombea hilp jina kukata kitu chochote kilicho beba hilo jina iwe tabia, au magonjwa,au mizimu, kuwa na uhakika itahamia kwa muhusika yaan mrithi wa jina

Tunaishi ktk familia za Kiafrica zaman za ujinga tulienenda ktk hayo mambo na wazaz au mababu walikuwa huko ktk mizimu
Hivyo usipo jinasua au jitenga kwa kuomba na kwa kufunga huwez toka

Sijajua imani yako bt kwa imani yangu
Damu ya Yesu inatutenga ktk kutoka katika giza na kutuingiza ktk nuru

Inakata kila kiambaza kilicho tutenga na uso wa Mungu na inatupatanisha na madhabahu ya Mungu

Kama tuliuzwa damu ya Yesu inatununua na kutupatanisha na Mungu

Kama kuna sadaka iliyo kushika, damu ya Yesu ni sadaka inayofuta sadaka zote na kukupa uhuru.

*sijajua nini ndoto yako nzima ila kwa uande wangu najua kuota wafu ni roho za mizimu ningekata hiyo connection yao na ningefunga mlango wanao upitia kwa damu ya Yesu. Na kuachilia damu ya Yesu inayo nena mema ili ktk nndoto vipite vya Mungu tu

* usisahau kumuombea na huyo mtoto ( Jina)

Kwa uchache ni hayo.Mungu akutoe ulipo kwama
Aisee...umemshauli kitu kizuri sana...
 
Back
Top Bottom