Watu hukiri kwa vitendo: Kumfunga Simba ni kufunga dude kuubwa sana

Cashman

JF-Expert Member
Jun 8, 2018
2,293
3,965
Hizi sherehe za yanga zimenifanya nifikiri upya jinsi mpinzani anavyomuwazia mnyama.

Kitendo cha kumfunga goli 5 na furaha waliyonayo ni kama wamemfunga Man city au Real Madrid.

Ninajiuliza kwenye akili yao waliionaje Simba!Huenda hata mashabiki wa Simba hawajawahi kuiona timu yao kwa ukubwa wanaouona wapinzani.

Na huenda ndiyo sababu wapinzani kucheza na Simba huwa ni kama fainali za mashindano yote makubwa kwa mwaka husika.

Waliingia fainali ya CAF hawakuwa na furaha kubwa kama kulifunga dude kuuubwa machoni pao. Ni kama wamemuua Goliath.

Hongera lakini asante kwa kutupa heshima na ukubwa usiomithilika.
 
Ndio kitu umeona cha kujifarijia hiki?

Yanga wanafurahi kumfunga simba sababu ya midomo yenu! Mnachongaga sana
Kumbe maneno ya jeshi la mtu mmoja semaji la CAF yanawatoaga roho kiasi hicho?Kumbe huwa mnateseka sana!
Najua hamuwezi kumsahau mgeni rasmi,maana lile goli la aibu hamjawahi kulijibu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Hizi sherehe za yanga zimenifanya nifikiri upya jinsi mpinzani anavyomuwazia mnyama.
Kitendo cha kumfunga goli 5 na furaha waliyonayo ni kama wamemfunga Man city au Real Madrid.
Ninajiuliza kwenye akili yao waliionaje Simba!Huenda hata mashabiki wa Simba hawajawahi kuiona timu yao kwa ukubwa wanaouona wapinzani.Na huenda ndiyo sababu wapinzani kucheza na Simba huwa ni kama fainali za mashindano yote makubwa kwa mwaka husika.

Waliingia fainali ya CAF hawakuwa na furaha kubwa kama kulifunga dude kuuubwa machoni pao.Ni kama wamemuua Goliath.

Hongera lakini asante kwa kutupa heshima na ukubwa usiomithilika

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Huu ndiyo ukweli.Atakayeukataa muulize,Simba ameifunga Yanga utopolo magoli 3,4 na hata 5 mara ngapi na hakukuwa na sherehe?
 
Sasa huoni aibu mwenyewe

Timu ndogo imeifunga timu ya robofainalist michuano yote, timu mdogo inaongoza ligi dhidi ya litimu likubwa CAF ambalo mpaka sasa halijashida mechi yoyote huko Cafu
Sherehekeeni maana hamjamfunga KMC.
Hata mkimfunga Ihefu hamuwezi kuwa na furaha kama hii

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Hizi sherehe za yanga zimenifanya nifikiri upya jinsi mpinzani anavyomuwazia mnyama.
Kitendo cha kumfunga goli 5 na furaha waliyonayo ni kama wamemfunga Man city au Real Madrid.
Ninajiuliza kwenye akili yao waliionaje Simba!Huenda hata mashabiki wa Simba hawajawahi kuiona timu yao kwa ukubwa wanaouona wapinzani.Na huenda ndiyo sababu wapinzani kucheza na Simba huwa ni kama fainali za mashindano yote makubwa kwa mwaka husika.

Waliingia fainali ya CAF hawakuwa na furaha kubwa kama kulifunga dude kuuubwa machoni pao.Ni kama wamemuua Goliath.

Hongera lakini asante kwa kutupa heshima na ukubwa usiomithilika

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app

Timu kubwa haipanic baada ya kupigwa nyingi, Arsenal alikuwa nane na man United hawakupanic,Madrid alikula tano na Barca Camp Nou na kampa sita moja Bernabeu na hakupanic, Man Utd akapigwa sita moja Old Trafford hawakupanic kama mnavyo panic nyie.

Mara mumtimue kocha,mara viongozi hawafai mara Mo,Wachezaji nao mechi ya Namungo unawaona wamepanic,kwa kifupi bado hamjatulia so nyie bado ni timu ndogo, tumu kubwa hazipanic, kwani zinaamini katika mipango yao.

Kumfunga mtani tano kuna raha yake,Liverpool alivyo mpa saba Man Utd kesho yake zikatoka jezi za saba bila zikionyesha na wafungaji.Nyie wenyewe mlivyo tupiga tano kelele mji mzima.

Timu kubwa huwaga hazipanic, nyie endeleeni kupaic pamoja na wachezaji wenu muone mtakavyo potea.
 
Timu kubwa haipanic baada ya kupigwa nyingi, Arsenal alikuwa nane na man United hawakupanic,Madrid alikula tano na Barca Camp Nou na kampa sita moja Bernabeu na hakupanic, Man Utd akapigwa sita moja Old Trafford hawakupanic kama mnavyo panic nyie.

Mara mumtimue kocha,mara viongozi hawafai mara Mo,Wachezaji nao mechi ya Namungo unawaona wamepanic,kwa kifupi bado hamjatulia so nyie bado ni timu ndogo, tumu kubwa hazipanic, kwani zinaamini katika mipango yao.

Kumfunga mtani tano kuna raha yake,Liverpool alivyo mpa saba Man Utd kesho yake zikatoka jezi za saba bila zikionyesha na wafungaji.

Timu kubwa huwaga hazipanic, nyie endeleeni kupaic pamoja na wachezaji wenu muone mtakavyo potea.
Tatizo ni kujiona mkubwa wakati bado ni mdogo na unahitaji kukua zaidi

Huna kombe lolote kimataifa, rekodi za hivi karibuni za kimataifa sip rafiki na still unajiona timu kubwa kisa unacheza na timu kubwa mara nyingi.
 
Kwa mtazamo wangu,
Wanafanya sherehe sio kwa sababu wamemfunga Simba ila wamemfunga kwa idadi kubwa ya magoli ambapo ni nadra kutokea na huchukua zaidi ya miaka kumi kwa Simba na Yanga kufungana kwa idadi kubwa ya magoli.
Kipindi cha nyuma Simba alishawahi kumfunga Yanga kwa magoli mengi na hakufanya sherehe inawezekana kipindi hicho social media hazikuwa na nguvu kama ilivyo sasa ambapo vilabu hutengeneza content na ku-brand clubs zao kupitia huko.
Idara za habari na mawasiliano ya hivi vilabu ukiacha kazi ya kuisemea club zimepewe kazi nyingine za ku-brand na kuwa chanzo cha mapato kupitia idara hiyo. Ndio maana kila wanapoona jambo fulani la club mashabiki wanalipenda watalichukulia kwa uzito wa kipekee sana.
 
Sasa Mtani zile ng'ombe 5 ulitaka tuzifanyeje? 😂

#Wachatunywesupusissi.
Mngewauza na kuwagawia masikini na yatima kama ambavyo huwa mnatafuta huruma ya jamii mara nyingi.Huo ni unafiki.Mna washabiki milioni ngapi hadi supu ya ng'ombe watano jumlisha watano aliotoa yule wa Ng'wanza iwatoshe?
 
Back
Top Bottom