Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,001
- 72,284
Kwel kifo ni adui!! majambazi walivamia benk wakawaambia " watu wote tunaanza kuwauwa kwa alfabet za majina yenu A,B,C,........Z" wakamuuliza meneja : unaitwa nani? Meneja : zosef zabrahamu. Wakawauliza watumishi wengine : 1: naitwa zedward zamweli, wapili: zanna zadam watatu: zahussein zamussa, wanne: zaasha zaabdallah. wa5.zumari zayakuti. Vipi kama na wewe ungekuwepo bank siku hiyo kwa ninavyokujua unavyoogopa kifo najua ungejiita ZOMBI
ZABWEGE.uwongo!!!"!""""""
ZABWEGE.uwongo!!!"!""""""