Hayo niauaji ya Kipumbavu yasiyo na tija kwa mstakabali wa amani ya Kudumu nchini Somalia. Suala ni je hivi vikundi vyenye silaha nchini Somalia na kwinginepo wanaotumia mwavuli wa dini kuua watu vitaendelea kutenda hayo hadi link? Kwa faida ya nani? Na mwisho wa yote kitokee nini? Ni wakati mwafaka sasa dunia nzima kwa umoja wake kusimama na kulaani kwa nguvu moja mauaji ya aina hiyo , iwe Nageria , Libya , Misri , Syria, Kuwait, Iraq , Pakistan nk nk. Hakuna sababu yoyote iwayo ile itakayo halalisha mauji