Water pump

Water pump

Tylor

Member
Joined
Apr 12, 2010
Posts
41
Reaction score
34
Naomba msaada kujua wapi nitapata genuine water pump kwa hapa Dar. Kwa ajili ya ku-pump maji toka kwenye kisima kirefu (inatakiwa ya kuzamisha kisimani). Nitashukuru kupata specifications zake na idea ya bei pia.
 
Mkuu mimi nashughulika na Biashara ya Hardware hususan maBomba aina zote na Fittings zake Pamoja na PUMP SURFACE na SUBMESABLE nataka kujua tayari umeshachimba KISIMA? kwasababu PUMP yakutosa ili ujue Bei inategemea na Ukubwa wa KISIMA chako!! na Pump ziko za CHINA na ITALY nipe maelezo ntarudi kwa ushauri!
 
Mkuu mimi nashughulika na Biashara ya Hardware hususan maBomba aina zote na Fittings zake Pamoja na PUMP SURFACE na SUBMESABLE nataka kujua tayari umeshachimba KISIMA? kwasababu PUMP yakutosa ili ujue Bei inategemea na Ukubwa wa KISIMA chako!! na Pump ziko za CHINA na ITALY nipe maelezo ntarudi kwa ushauri!


Ahsante Mkuu, kisima kilishachimbwa cha urefu wa futi 60 na upana 45cm by 45cm. Pump iliwekwa ya HP 1 imefanya kazi kwa miezi 3 tu, bila shaka ilikuwa fake ndo maana natafuta original pump. Nitashukuru kujua wapi naweza pata genuine na idea ya bei yake.
 
nenda devis pale kamata wanazo pedrollo,grandforce,lowarra hizi ni pump nzuri sana ila bei zao ni nzito
au merry water pale victoria pia zipo na bei pia zimechangamka
kwa bei nafuu unaweza kupata aina hizo za pump gerezani kariakoo ila uwe mzoefu wa kujua original na feki kwa hp 1 kuanzia ml 1.2 mpaka laki 8 unapata kwa aina hizo
mm hujiahughulisha na hiyo kazi pia
 
Sio nawapigia promo.......ila Davis&Shirtliff......wapo vizuri katika maswala hayo......ona wao........
 
Mjasiriakili nachimba kisima cha 120meters na ningehitaji submersible pumps-any idea on price of pump ambayo itatosha!
 
Sio nawapigia promo.......ila Davis&Shirtliff......wapo vizuri katika maswala hayo......ona wao........

Preta niende ya Arusha au Dar? Wapi ni pazuri zaidi? Ukinishauri ntaenda popote hata kama gharama itakuwa kubwa. .......ila hapa Dar wako jamaa wamefungua kampuni inafanya biashara hiyo pia wako pale mikocheni jengo la the arcade zamani palijulikana kama heineken house.
 
Nawashukuru sana wote kwa ushauri, nitafuatilia!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom