Inapokea maji kwa gravity, kisha discharge yake ina sukuma kwa kpi/bar ngapi?Inasukuma maji mpaka mita 300.
Ni aina/brand gani??Wakuu kuna MTU anauza water pump kwa Tsh. 200,000/= ameutumia mwezi mmoja na anauza kwa sababu anashida na fedha kwa dharura
Inatumia. Petroleum
Inch 2