Wazungu wenyewe wameishindwa bei hasa hii iphone mpya bei inafika $2000.Ukiangalia comment za watu hasa watumiaji wa iphone wameponda hilo toleo simu internal inaanzia 64gb 128Gb 512gb halafu hamna sd card na bei yake $2000 wakati note 9 ina internal 512gb na sd card hadi 1Tb bei yake ni $800-900