Watanzania wagumu kuelewa

Watanzania wagumu kuelewa

Mwenezi ACT

Member
Joined
Apr 11, 2015
Posts
36
Reaction score
7
Hivi kuna sku CCM iyaachwa kuongozwa kiukoo? Naombeni msaada wenu....... naona mumo wa CCM katika uongozi hautofautini na CHADEMA labda CHADEMA wapo kikandazaidi........
 
Hivi kuna sku CCM iyaachwa kuongozwa kiukoo? Naombeni msaada wenu....... naona mumo wa CCM katika uongozi hautofautini na CHADEMA labda CHADEMA wapo kikandazaidi........
Hahaha... Wewe nawe ni mwenezi wa ACT. Inlalilahi wa inlailaihi rajiuuun
 
Nitachukulia jina lako la "Mwenezi ACT" kuwa kitu cha mchezo. Kama ni kweli, basi kazi ya uenezi itakuwa ngumu sana kwako hasa kama huwezi ukasema jambo na kulieleza kwa ufasaha na kuhakikisha linaweza kueleweka kwa wengi. Ni vigumu hata kujua unazungumzia nini.

Ushauri. Jaribu ku-proof read kabla huja-post!!
 
Hoja ilikuwa ni kuiponda tu Chadema na si CCM.

ACT kimejengwa na wapambe na vubaraka wa Zitto na hakijijengi kama taasisi ambapo uhai wa chama hautegemei umaarufu wa mtu mmoja. ACT ni Zitto na Zitto ni ACT, Zitto yupo juu ya chama cha ACT na uhai wa Chama unategemea umaarufu wa Zitto na kufa kwake ni kuporomoka kwa umaarufu wa Zitto.

NURU YA CHAMA.
 
Back
Top Bottom