Mwanaharakatihuru
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 477
- 120
Mgomo unaendelea na raia kukaa kimya ni uthibitisho watanzania wamechagua kufa kwa kukosa umoja na mshikamano. Kila mtu anakufa na lakwe
sasa we unataka watu wafanyeje au wananchi tuandamane kwenda ikulu.mgomo unaendelea na raia kukaa kimya ni uthibitisho watanzania wamechagua kufa.
Kwa kukosa umoja na mshikamano. Kila mtu anakufa na lakwe
wewe mbona unaandika vitu ambavyo havina maana watanzania wafanye nini sasa wakati madaktari waliosomeshwa kwa kodi zao wanaonyesha ubinafsi na wanasiasa wanaingilia mambo haya so mtanzania anazidi kuteseka na wanasiasa nao wanazidi kuchafua mambo hayamgomo unaendelea na raia kukaa kimya ni uthibitisho watanzania wamechagua kufa kwa kukosa umoja na mshikamano. Kila mtu anakufa na lakwe