Watanzania tuogope magazeti haya

Watanzania tuogope magazeti haya

Upanga Mkali

Member
Joined
Dec 24, 2014
Posts
96
Reaction score
83
Watanzania tuogope magazeti ya mtanzania, mwananchi na nipashe ambayo kila kukicha yeyewe yanamtafuta rais wetu mhe. Jakaya mrisho kikwete. Lazima tujiulize kwa nini hawa hawamuheshimu raisi wetu, maana kila kukicha wao wanang'ang'ania muhongo aondoke.

Tunajua hawa wote wamepewa fedha na mengi kwa ajili ya kazi hiyo tu. Wanaacha kuwataarifu watanzania mambo ya maendeleo, wao wanafuatilia masuala ambayo hayajengi kwa watanzania. Angalieni gazeti hili la mtanzania 21,1,2015 limeandika siku za muhongo zimekwisha, sasa wao wanamuongelea rais?

Kwa nini wasikae kimya kusubiri maamuzi ya rais? Kama watanzania wote wanajua halihalisi ya escrow akaunti ilivyokuwa na mkakati ulivyofanywa na wafanyabishara na wale walionyimwa vitalu. Mbona wao hawamzunguzii zito aliyechukua fedha za iptl kutoka kwa singa singa?

Kila siku wao wanazungumzia mtu mmoja tu, mtu mwenyewe tukisoma taarifa ya cag hatuoni mahali ambapo anahusika, ni kwa nini hawataki kuandika ukweli uliopo? Wanatafuta watanzania ni mbumbumbu hatuelewi kinachoendelea? Magazeti haya tunajua yamepewa fedha nyingi waandike kichwa cha habari muhongo.

Juzi pia tulisikia lembeli nae akizungumzia suala hilo hilo, wote tunajua lembeli amepewa fedha na lazaro nyalandu kumtangaza. Tujiulize lembeli ni mtumishi wa wizara ya maliasili? Kwa nini kila siku anasafiri na nyalandu? Kama yeye nae ni mtumishi wa wizara hiyo? Amepewa fedha kwa ajili ya kuichafua ccm tu.

Hapa majuzi lembeli kahongwa milioni 20 na nyalandu kupoteza watu wasizungumzie masuala yake ya kimada, na alipewa maelekezo kuhakikisha anazungumzia suala la escrow na muhongo kwa kuwa akizungumza hilo magazeti yataacha kuandika habari zake.
 
Watanzania tuogope magazeti ya mtanzania, mwananchi na nipashe ambayo kila kukicha yeyewe yanamtafuta rais wetu mhe. Jakaya mrisho kikwete. Lazima tujiulize kwa nini hawa hawamuheshimu raisi wetu, maana kila kukicha wao wanang'ang'ania muhongo aondoke.

Tunajua hawa wote wamepewa fedha na mengi kwa ajili ya kazi hiyo tu. Wanaacha kuwataarifu watanzania mambo ya maendeleo, wao wanafuatilia masuala ambayo hayajengi kwa watanzania. Angalieni gazeti hili la mtanzania 21,1,2015 limeandika siku za muhongo zimekwisha, sasa wao wanamuongelea rais?

Kwa nini wasikae kimya kusubiri maamuzi ya rais? Kama watanzania wote wanajua halihalisi ya escrow akaunti ilivyokuwa na mkakati ulivyofanywa na wafanyabishara na wale walionyimwa vitalu. Mbona wao hawamzunguzii zito aliyechukua fedha za iptl kutoka kwa singa singa?

Kila siku wao wanazungumzia mtu mmoja tu, mtu mwenyewe tukisoma taarifa ya cag hatuoni mahali ambapo anahusika, ni kwa nini hawataki kuandika ukweli uliopo? Wanatafuta watanzania ni mbumbumbu hatuelewi kinachoendelea? Magazeti haya tunajua yamepewa fedha nyingi waandike kichwa cha habari muhongo.

Juzi pia tulisikia lembeli nae akizungumzia suala hilo hilo, wote tunajua lembeli amepewa fedha na lazaro nyalandu kumtangaza. Tujiulize lembeli ni mtumishi wa wizara ya maliasili? Kwa nini kila siku anasafiri na nyalandu? Kama yeye nae ni mtumishi wa wizara hiyo? Amepewa fedha kwa ajili ya kuichafua ccm tu.

Hapa majuzi lembeli kahongwa milioni 20 na nyalandu kupoteza watu wasizungumzie masuala yake ya kimada, na alipewa maelekezo kuhakikisha anazungumzia suala la escrow na muhongo kwa kuwa akizungumza hilo magazeti yataacha kuandika habari zake.
Magazeti haya yamekuwa kama jina lako, huo ndio uhuru wa habari yaache tu yatimize majuku yake.
 
Unaposema "wote tunajua" mimi simo. Hata hivyo tatizo sio hayo magazeti ila ni rais wako. Kama unaushahidi wa huyo aliyehonga na kuhongwa nenda PCCB katoe taarifa sheria ichukue mkondo wake
 
Umeongea kweli mi nimeshaacha kusoma hayo magazeti, wapumbavu tu ndio watakupinga!.
 
Nenda kasome ya shigongo udaku...hayo hayakufai...aisee inaonyesha unaumizwa sana mpk thread umeanzisha
 
Mtoa mada ni ndugu na Asupta Mshama, pumba tupu, pumba tupu
 
mkuu hayo magazeti yameshapotezwa mwelekeo wa fani ya habari yamebaki kama magazeti ya udaku
 
Watanzania tuogope magazeti ya mtanzania, mwananchi na nipashe ambayo kila kukicha yeyewe yanamtafuta rais wetu mhe. Jakaya mrisho kikwete. Lazima tujiulize kwa nini hawa hawamuheshimu raisi wetu, maana kila kukicha wao wanang'ang'ania muhongo aondoke.

Tunajua hawa wote wamepewa fedha na mengi kwa ajili ya kazi hiyo tu. Wanaacha kuwataarifu watanzania mambo ya maendeleo, wao wanafuatilia masuala ambayo hayajengi kwa watanzania. Angalieni gazeti hili la mtanzania 21,1,2015 limeandika siku za muhongo zimekwisha, sasa wao wanamuongelea rais?

Kwa nini wasikae kimya kusubiri maamuzi ya rais? Kama watanzania wote wanajua halihalisi ya escrow akaunti ilivyokuwa na mkakati ulivyofanywa na wafanyabishara na wale walionyimwa vitalu. Mbona wao hawamzunguzii zito aliyechukua fedha za iptl kutoka kwa singa singa?

Kila siku wao wanazungumzia mtu mmoja tu, mtu mwenyewe tukisoma taarifa ya cag hatuoni mahali ambapo anahusika, ni kwa nini hawataki kuandika ukweli uliopo? Wanatafuta watanzania ni mbumbumbu hatuelewi kinachoendelea? Magazeti haya tunajua yamepewa fedha nyingi waandike kichwa cha habari muhongo.

Juzi pia tulisikia lembeli nae akizungumzia suala hilo hilo, wote tunajua lembeli amepewa fedha na lazaro nyalandu kumtangaza. Tujiulize lembeli ni mtumishi wa wizara ya maliasili? Kwa nini kila siku anasafiri na nyalandu? Kama yeye nae ni mtumishi wa wizara hiyo? Amepewa fedha kwa ajili ya kuichafua ccm tu.

Hapa majuzi lembeli kahongwa milioni 20 na nyalandu kupoteza watu wasizungumzie masuala yake ya kimada, na alipewa maelekezo kuhakikisha anazungumzia suala la escrow na muhongo kwa kuwa akizungumza hilo magazeti yataacha kuandika habari zake.

Mbona unaaibisha waiokutuma? Thread yako ya Mbatia kutimuliwa UKAWA inaendelea kujadiliwa tayari umeibuka na nyingine yenye maudhui yale yale
 
Kuna mtu muungwana alileta uzi siku kama tano zimepita na alisema mawaziri wakatazwa wasitoke nje ya Dar mkakataa leo hii mbwiga wewe unayakosoa magazeti ya wananchi kuielezea kauli ya ikulu!!!? Shame on u!!
 
Watanzania tuogope magazeti ya mtanzania, mwananchi na nipashe ambayo kila kukicha yeyewe yanamtafuta rais wetu mhe. Jakaya mrisho kikwete. Lazima tujiulize kwa nini hawa hawamuheshimu raisi wetu, maana kila kukicha wao wanang'ang'ania muhongo aondoke.

Tunajua hawa wote wamepewa fedha na mengi kwa ajili ya kazi hiyo tu. Wanaacha kuwataarifu watanzania mambo ya maendeleo, wao wanafuatilia masuala ambayo hayajengi kwa watanzania. Angalieni gazeti hili la mtanzania 21,1,2015 limeandika siku za muhongo zimekwisha, sasa wao wanamuongelea rais?

Kwa nini wasikae kimya kusubiri maamuzi ya rais? Kama watanzania wote wanajua halihalisi ya escrow akaunti ilivyokuwa na mkakati ulivyofanywa na wafanyabishara na wale walionyimwa vitalu. Mbona wao hawamzunguzii zito aliyechukua fedha za iptl kutoka kwa singa singa?

Kila siku wao wanazungumzia mtu mmoja tu, mtu mwenyewe tukisoma taarifa ya cag hatuoni mahali ambapo anahusika, ni kwa nini hawataki kuandika ukweli uliopo? Wanatafuta watanzania ni mbumbumbu hatuelewi kinachoendelea? Magazeti haya tunajua yamepewa fedha nyingi waandike kichwa cha habari muhongo.

Juzi pia tulisikia lembeli nae akizungumzia suala hilo hilo, wote tunajua lembeli amepewa fedha na lazaro nyalandu kumtangaza. Tujiulize lembeli ni mtumishi wa wizara ya maliasili? Kwa nini kila siku anasafiri na nyalandu? Kama yeye nae ni mtumishi wa wizara hiyo? Amepewa fedha kwa ajili ya kuichafua ccm tu.

Hapa majuzi lembeli kahongwa milioni 20 na nyalandu kupoteza watu wasizungumzie masuala yake ya kimada, na alipewa maelekezo kuhakikisha anazungumzia suala la escrow na muhongo kwa kuwa akizungumza hilo magazeti yataacha kuandika habari zake.

Mh...kazi ipo.....kwani na mengi anataka uraisi.? Na magazeti haya haya ndo yalotujuza haya.....kama kavurunda asemwe hata awe nani.! Na kama wana ajenda tofauti ndani ya genge moja hiyo watajua wao.! Ina maana nyalandu na lembeli anaichafua. Ccm.? Mh...kama ni.kweli bac ccm wale milo.! Maana kw wengine mwaka wa kuchuma ndo huu.!
 
Watanzania tuogope magazeti ya mtanzania, mwananchi na nipashe ambayo kila kukicha yeyewe yanamtafuta rais wetu mhe. Jakaya mrisho kikwete. Lazima tujiulize kwa nini hawa hawamuheshimu raisi wetu, maana kila kukicha wao wanang'ang'ania muhongo aondoke.

Tunajua hawa wote wamepewa fedha na mengi kwa ajili ya kazi hiyo tu. Wanaacha kuwataarifu watanzania mambo ya maendeleo, wao wanafuatilia masuala ambayo hayajengi kwa watanzania. Angalieni gazeti hili la mtanzania 21,1,2015 limeandika siku za muhongo zimekwisha, sasa wao wanamuongelea rais?

Kwa nini wasikae kimya kusubiri maamuzi ya rais? Kama watanzania wote wanajua halihalisi ya escrow akaunti ilivyokuwa na mkakati ulivyofanywa na wafanyabishara na wale walionyimwa vitalu. Mbona wao hawamzunguzii zito aliyechukua fedha za iptl kutoka kwa singa singa?

Kila siku wao wanazungumzia mtu mmoja tu, mtu mwenyewe tukisoma taarifa ya cag hatuoni mahali ambapo anahusika, ni kwa nini hawataki kuandika ukweli uliopo? Wanatafuta watanzania ni mbumbumbu hatuelewi kinachoendelea? Magazeti haya tunajua yamepewa fedha nyingi waandike kichwa cha habari muhongo.

Juzi pia tulisikia lembeli nae akizungumzia suala hilo hilo, wote tunajua lembeli amepewa fedha na lazaro nyalandu kumtangaza. Tujiulize lembeli ni mtumishi wa wizara ya maliasili? Kwa nini kila siku anasafiri na nyalandu? Kama yeye nae ni mtumishi wa wizara hiyo? Amepewa fedha kwa ajili ya kuichafua ccm tu.

Hapa majuzi lembeli kahongwa milioni 20 na nyalandu kupoteza watu wasizungumzie masuala yake ya kimada, na alipewa maelekezo kuhakikisha anazungumzia suala la escrow na muhongo kwa kuwa akizungumza hilo magazeti yataacha kuandika habari zake.

Wewe si uko jikoni mwa UKAWA? Au umesahau Mara hii kwamba ulituletea habari ya mgogoro Wa Dr. Slaa na Mbatia? Sasa akisemwa Kiwete Wewe inakuuma nini?
 
Back
Top Bottom