Serikali ya CCM imefilisika kimawazo kabisa, na imekuwa kama kipofu anaetembea peke yake bila msaidizi...kwanini uwahamishe wananchi kwa kuwadhalilisha kiasi hicho? hawa ni wakulima maisha yao yote yanategemea kilimo, sasa msimu wa kilimo umeanza halafu serikali inawabomolea nyumba kwa kuzichoma moto, hawa wananchi wataishi vipi mwaka mzima huu?
Wananchi wa Singida na Tanzania tuamke sasa, hii sio serikali yetu bali ukoloni....tufanye mabadiliko kujikomboa wenyewe...
SHEM ON YOU CCM AND UR GOVNT