Mkulima na Mfugaji
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,013
- 1,634
Hukuna kitu kinachoumiza kama kuondokewa na unaempenda au ambae ni tegemezi kwako.
Hivi sasa kumeibuka tabia ya kuanza kutafuta marehemu alichosema pindi akiwa hai na kukiweka mitandaoni.
Kumbuka unapoandika maneno mabaya kwa marehemu kumbuka wanandugu wanaowategemea na kuwapenda.
Kumbukeni swala la kifo ni siri ya mungu sio kwamba kumsema fulani ni mgonjwa ndio inapelekea kifo hapana.
Sisi watanzania tuna utani wa jadi kuanzia kwenye makabila, michezo na siasa kwa hiyo sioni ajabu mhaya kumtania msukuma, shabiki wa yanga kumtania shabiki wa simba na mfuasi wa chadema kumtania wa CCM.
Hebu tuwaachie marehemu wetu wapunzike.
Hivi sasa kumeibuka tabia ya kuanza kutafuta marehemu alichosema pindi akiwa hai na kukiweka mitandaoni.
Kumbuka unapoandika maneno mabaya kwa marehemu kumbuka wanandugu wanaowategemea na kuwapenda.
Kumbukeni swala la kifo ni siri ya mungu sio kwamba kumsema fulani ni mgonjwa ndio inapelekea kifo hapana.
Sisi watanzania tuna utani wa jadi kuanzia kwenye makabila, michezo na siasa kwa hiyo sioni ajabu mhaya kumtania msukuma, shabiki wa yanga kumtania shabiki wa simba na mfuasi wa chadema kumtania wa CCM.
Hebu tuwaachie marehemu wetu wapunzike.