sosssy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2017
- 668
- 534
Toka kuripotiwe kifo cha msanii godizila naona instagram,whatsapp status zimechafuka . yani watanzania sisi ni watu wa ajabu sanaa, week mbili nyuma kuna chombo cha habari kilirepot kwamba "msanii godizilla amekua mlevi wakupindukia" lakini hakuna alieshtushwa na hilo wala hakuna alie chukua hatua yeyote.... leo amefariki ndo sasa kila mtu anajua hilo.ama kweli nimeamini ule msemo wa "ishi ulaumiwe kufa usifiwe"