Kite Munganga
Platinum Member
- Nov 19, 2006
- 1,773
- 952
hivi kuna mtangazaji mmoja wa clouds 360 anaitwa komoga siku hizi yupo wapi vile
Kamonga alipewa shavu la ukurugenzi wa wilaya ya Mbulu na kwa bahati nzuri sana wilaya yake ikafanikiwa kuwa ya pili toka mwisho hapa Tanzania kwa kushindwa kukusanya mapaato ya Mr Jaffo lakini kwa kuwa ni mshikaji hakufanywa chochote badala yake jumba bovu hilo akamtupia DT wake ambaye mpaka leo hajachomoa