Tetesi: Watangaza nia 2020 waanza kupiga jaramba CCM

jogi

JF-Expert Member
Sep 25, 2010
25,556
25,339
Kufuatia kauli ya mwenyekiti wa CCM ambaye pia ndiye rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mh. John Joseph Pombe Magufuli kuwa kazi ya urais ni ngumu sana kiasi kwamba anajuta kwanini aliiomba, na kuongeza anatamani kazi hiyo iishe hata kesho!!!!

Ni dhahiri kuwa Mungu akituweka hai Magufuli hatagombea tena urais 2020.

Ukweli huu umesababisha wanaccm kuanza kupigana vikumbo katika jitihada za kung'arisha nyota zao.

Mwigulu Nchemba anaonekana kulianzisha mapemaa na marufuku ya kusafiri nje kwa wale waliotajwa kwenye ripoti ya pili ya makinikia.

Lukuvi kaanza kitambo kidogo hadi kufikia kuzuia ujenzi kwenye maeneo ambayo hayajapimwa, achilia mbali kunyang'anya ardhi kwenye manispaa zilizo chini ya vyama vya upinzani.

January bado anajiandaa atokeje, ingawa kampeni meneja wake (fina mango) amemchomeka pale Gymkhana club kuwa makamu wa mwenyekiti ili kutafuta uungwaji mkono kwa vingunge na vibopa wa chama.

Nimejaribu kumtafuta VUTA-NKUVUTE nijue msimamo wake juu ya tetesi hii nimeambulia patupu.

KAMA NI KKWELI TUNAWATAKIA KILA KHERI WAMACCM KATIKA MTIFUANO HUO.
 
Kufuatia kauli ya mwenyekiti wa ccm ambaye pia ndiye rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania Mh. John Joseph Pombe Magufuli kuwa kazi ya urais ni ngumu sana kiasi kwamba anajuta kwanini aliiomba, na kuongeza anatamani kazi hiyo iishe hata kesho!!!!

Ni dhahiri kuwa Mungu akituweka hai Magufuli hatagombea tena urais 2020.

Ukweli huu umesababisha wanaccm kuanza kupigana vikumbo katika jitihada za kung'arisha nyota zao.

Mwigulu Nchemba anaonekana kulianzisha mapemaa na marufuku ya kusafiri nje kwa wale waliotajwa kwenye ripoti ya pili ya makinikia.

Lukuvi kaanza kitambo kidogo hadi kufikia kuzuia ujenzi kwenye maeneo ambayo hayajapimwa, achilia mbali kunyang'anya ardhi kwenye manispaa zilizo chini ya vyama vya upinzani.

January bado anajiandaa atokeje, ingawa kampeni meneja wake (fina mango) amemchomeka pale Gymkhana club kuwa makamu wa mwenyekiti ili kutafuta uungwaji mkono kwa vingunge na vibopa wa chama.
Nimejaribu kumtafuta VUTA-NKUVUTE nijue msimamo wake juu ya tetesi hii nimeambulia patupu.

KAMA NI KKWELI TUNAWATAKIA KILA KHERI WAMACCM KATIKA MTIFUANO HUO.
Mkuu nimecheka sana
 
Kufuatia kauli ya mwenyekiti wa ccm ambaye pia ndiye rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania Mh. John Joseph Pombe Magufuli kuwa kazi ya urais ni ngumu sana kiasi kwamba anajuta kwanini aliiomba, na kuongeza anatamani kazi hiyo iishe hata kesho!!!!

Ni dhahiri kuwa Mungu akituweka hai Magufuli hatagombea tena urais 2020.

Ukweli huu umesababisha wanaccm kuanza kupigana vikumbo katika jitihada za kung'arisha nyota zao.

Mwigulu Nchemba anaonekana kulianzisha mapemaa na marufuku ya kusafiri nje kwa wale waliotajwa kwenye ripoti ya pili ya makinikia.

Lukuvi kaanza kitambo kidogo hadi kufikia kuzuia ujenzi kwenye maeneo ambayo hayajapimwa, achilia mbali kunyang'anya ardhi kwenye manispaa zilizo chini ya vyama vya upinzani.

January bado anajiandaa atokeje, ingawa kampeni meneja wake (fina mango) amemchomeka pale Gymkhana club kuwa makamu wa mwenyekiti ili kutafuta uungwaji mkono kwa vingunge na vibopa wa chama.
Nimejaribu kumtafuta VUTA-NKUVUTE nijue msimamo wake juu ya tetesi hii nimeambulia patupu.

KAMA NI KKWELI TUNAWATAKIA KILA KHERI WAMACCM KATIKA MTIFUANO HUO.
Hizi ramli hazijawahi kumuacha mtu salama
 
Hizi ramli hazijawahi kumuacha mtu salama
Kwani wewe hujasikia rais anavyolalamikia ugumu wa kazi ya urais?
Au hujasikia akiomba hata ikiwezekana kazi iishe kesho!!!
Hii ina maana uchaguzi ujao hatachukua form!!!!
 
Magufuli anawachora kimya atamvutia waya Mwigulu atamtupa baharini kwa ishu ya Ikwiriri..... Makamba atamwamisha ofisi na kumpangia kazi nyingine ya kuwa balozi wa kudumu wa Iraq.....
 
Kufuatia kauli ya mwenyekiti wa ccm ambaye pia ndiye rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania Mh. John Joseph Pombe Magufuli kuwa kazi ya urais ni ngumu sana kiasi kwamba anajuta kwanini aliiomba, na kuongeza anatamani kazi hiyo iishe hata kesho!!!!

Ni dhahiri kuwa Mungu akituweka hai Magufuli hatagombea tena urais 2020.

Ukweli huu umesababisha wanaccm kuanza kupigana vikumbo katika jitihada za kung'arisha nyota zao.

Mwigulu Nchemba anaonekana kulianzisha mapemaa na marufuku ya kusafiri nje kwa wale waliotajwa kwenye ripoti ya pili ya makinikia.

Lukuvi kaanza kitambo kidogo hadi kufikia kuzuia ujenzi kwenye maeneo ambayo hayajapimwa, achilia mbali kunyang'anya ardhi kwenye manispaa zilizo chini ya vyama vya upinzani.

January bado anajiandaa atokeje, ingawa kampeni meneja wake (fina mango) amemchomeka pale Gymkhana club kuwa makamu wa mwenyekiti ili kutafuta uungwaji mkono kwa vingunge na vibopa wa chama.
Nimejaribu kumtafuta VUTA-NKUVUTE nijue msimamo wake juu ya tetesi hii nimeambulia patupu.

KAMA NI KKWELI TUNAWATAKIA KILA KHERI WAMACCM KATIKA MTIFUANO HUO.
asipo gombea ataishia jela kwa kesi za ufisadi
 
Magufuli anawachora kimya atamvutia waya Mwigulu atamtupa baharini kwa ishu ya Ikwiriri..... Makamba atamwamisha ofisi na kumpangia kazi nyingine ya kuwa balozi wa kudumu wa Iraq.....
Una maana magufuli atagombea tena?
 
Kwani wewe hujasikia rais anavyolalamikia ugumu wa kazi ya urais?
Au hujasikia akiomba hata ikiwezekana kazi iishe kesho!!!
Hii ina maana uchaguzi ujao hatachukua form!!!!
Naendelea kukwambia hizo ni ramli tu
 
Naendelea kukwambia hizo ni ramli tu
Je una maana hizi tetesi siyo kweli?
Sasa mbona rais analalamika sana kuwa kazi tuliyompa ni ngumu sana!!!

Mara aseme alichukua form peke yake!!! Mara ajute kuchukua form!!!!

Wewe unamuelewaje hebu tufafanulie tafadhali.
 
Back
Top Bottom