canular
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 1,068
- 1,268
Amkeni Watanganyika
Tafakari hali yetu ya sasa: Taifa letu limeuzwa, tumechukuliwa mamlaka ya kumchagua au kumuweka kiongozi. Sasa tuna watu ambao hatuwataki wala hatukuwachagua.
Haki hii ambayo ni halali kwa kila raia wa taifa letu kikatiba imechukuliwa kwa Bunduki na risasi, taifa limenunuliwa.
Hiii ni hali ya kutisha, lakini tunaweza kubadilisha kwa nguvu za umoja wetu.
Tarehe 9 Desemba 2025, tuchukue hatua za kusitisha wizi huu na uhuni huu walioufanya CCM.
Twendeni kwenye maandamano ya amani tuwapinge na kuwakataa kila sehemu kwa nguvu na sauti moja.
Tufanyeni maandamano, tujitokeze kila mmoja na bango lake kuonesha upinzani wetu kwa wale walio nunua nchi yetu.
Tukumbuke, Watanzania wenzetu wameuwawa na hawa majambazi wahuni wa ccm, tusikubali kudanganywa tena.
Pamoja, kwa umoja na mshikamano, tuwapinge vikali ccm na wote wale walionunua Taifa letu.
Tarehe 9 Desemba, tuipe ujumbe dunia nzima hatuko tayali kutawaliwa kwa bunduki na risasi pia hatuko tayari kutawaliwa na watu yaliojiweka madarakani
Tafakari hali yetu ya sasa: Taifa letu limeuzwa, tumechukuliwa mamlaka ya kumchagua au kumuweka kiongozi. Sasa tuna watu ambao hatuwataki wala hatukuwachagua.
Haki hii ambayo ni halali kwa kila raia wa taifa letu kikatiba imechukuliwa kwa Bunduki na risasi, taifa limenunuliwa.
Hiii ni hali ya kutisha, lakini tunaweza kubadilisha kwa nguvu za umoja wetu.
Tarehe 9 Desemba 2025, tuchukue hatua za kusitisha wizi huu na uhuni huu walioufanya CCM.
Twendeni kwenye maandamano ya amani tuwapinge na kuwakataa kila sehemu kwa nguvu na sauti moja.
Tufanyeni maandamano, tujitokeze kila mmoja na bango lake kuonesha upinzani wetu kwa wale walio nunua nchi yetu.
Tukumbuke, Watanzania wenzetu wameuwawa na hawa majambazi wahuni wa ccm, tusikubali kudanganywa tena.
Pamoja, kwa umoja na mshikamano, tuwapinge vikali ccm na wote wale walionunua Taifa letu.
Tarehe 9 Desemba, tuipe ujumbe dunia nzima hatuko tayali kutawaliwa kwa bunduki na risasi pia hatuko tayari kutawaliwa na watu yaliojiweka madarakani