Watalii wanusurika ajali ya ndege

Watalii wanusurika ajali ya ndege

Manyerere Jackton

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
2,438
Reaction score
4,461
Ndege ya zanair imepata ajali uwanja wa arusha punde tu
 

Attachments

  • 20140128_150348.jpg
    20140128_150348.jpg
    238 KB · Views: 1,138
Zanair tena? Hii si ndio ilipata ajali Pemba jmosi? Hapa Israel anatafuta roho ya mtu wa Zanair!
 
Almanusura... Mungu mkubwa bado anawapenda viumbe vyake waiishi zaidi.
Pole sana.
 
Hii kampuni kama haijafungiwa basi wajerekebishe coz wanakoelekea sipo kabisa.
 
Ndege ya zanair imepata ajali uwanja wa arusha punde tu


hizi ndege ndogo zilizoko hapa nchini zinapaswa kuangaliwa upya.ni za zamani sana na technolojia zinazotumia ni GPRS na sio VOR kama. kama mitambo ya kisasa ya kuongozea ndege.ni ndege za miaka mingi sana na sidhani kama bado zinatengenezwa viwandani.juzi tu kuna moja imefeli break na kupitiliza uwanja huko zenji.kama sikosei ni zanair pia
 
Ndege za bongo karibia zote ni majeneza,mi safari za humu humu huwa napanda mabasi tu,naziogopa sana hizi ndege!
 
Majanga tu haya ndio kisa cha kina marehemu sambeke kufa kirahisi na kutuacha twala bia kwa kuruka na haya majeneza
wanunue ndege mpya
 
hizi ndege ndogo zilizoko hapa nchini zinapaswa kuangaliwa upya.ni za zamani sana na technolojia zinazotumia ni GPRS na sio VOR kama. kama mitambo ya kisasa ya kuongozea ndege.ni ndege za miaka mingi sana na sidhani kama bado zinatengenezwa viwandani.juzi tu kuna moja imefeli break na kupitiliza uwanja huko zenji.kama sikosei ni zanair pia

Kaka mkubwa elimu haina mwisho hebu nijuze kuhusu hii GPRS na VOR. niko ki analogue yaani mzee
 
Watu tunatoa lawama tu bila ya chanzo cha hiyo ajari kutosemwai?,chochote chaweza tokea,makosa ya rubani,poor weather,tatizo katika runway nk.
 
Kaka mkubwa elimu haina mwisho hebu nijuze kuhusu hii GPRS na VOR. niko ki analogue yaani mzee

mkuu vor ni mitambo ya kisasa ambayo hutumika kuongozea ndege.hii inakuwa na freequency kama za radio.mfano,98.6 labda ndo iwe freequency ya dar then ruban anayetoka nairobi baada ya kuiacha anga ya kenya atatune freequency hiyo ambayo ni ya dar so hata hitaji sana kuwasumbua control towers.hawez poteza uelekeo wala nini sana sana akishafika ataomba control tower clearence ya runway atue.n'way cwez eleza saaaana but unaweza uka google utapata majibu murua.hivi vindege vidogo na hasa vya zamani havina technolojia hiyo
 
kaka fafanua, manake unasema wamenusurika kufa, imefeli break kama ile ya pemba, tatizo nini manake sijaona tatizo lililoelezwa
 
Back
Top Bottom