Ukweli usio pingika taifa letu limekuwa likizalisha wataalamu wengi kila mwaka kutoka vyuo mbali mbali ndani na nje ya nchi.
Lakini wengi wao hawapati nafasi ya kuonyesha uwezo wao kwenye soko la ajira za serikali na ofisi binafsi kwa sababu ya kigezo cha uzoefu.
Kigezo hiki kinamuitaji muombaji awe na uzoefu wa kufanya hiyo kazi kwa muda usio pungua miaka mitano.
Swali linakuja je hawa wataalamu nani atawapokea ili kuonesha uwezo wao wa kufanya kazi?.
Labda kuna kazi na kazi, za uzoefu na za kiwango cha kuanzia.
Sema tu hao waajiri wahakikishe kuwa wasidai uzoefu na kulipa kima cha wanaoanza. Do not employ people on basis of experienced worker and proceed to pay them entry level pay.
Labda kuna kazi na kazi, za uzoefu na za kiwango cha kuanzia.
Sema tu hao waajiri wahakikishe kuwa wasidai uzoefu na kulipa kima cha wanaoanza. Do not employ people on basis of experienced worker and proceed to pay them entry level pay.