Mkushi w jani
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 1,576
- 1,302
lipia tangazo mkuuMoja ya mambo ambayo naenjoy kufanya ni haya aisee ila uwe na moyo sana na usiwe mtu wa kupenda sana utakufa
Hii kitu kwa mara ya kwanza 2013 nilianza kwa kudukua acc za Facebook za watu wangu wa karibu afu badaye nakuwa nawatania mulemule na kisha najiita nabii chuoni hahahaha
Pia kudukua namba za watu ni kamchezo katamu ila pis uwe na moyo
Pia nimegundua wengi wanapenda kufatilia mawasiliano ya wapenzi wao ila hapa wanajifanya hawataki
Sio wanaume si wanawake
Na katika enzi zangu
Nimewahi fatwa na watu wengi sana nashukur sikuwahi wasaidia maana unaweza kuwa vhanzo cha mauaji kwa wapenzi au kutarafiana
Kuna siku watakutaja tu utajulikana
Pemgine aibu au sheria za samja
Zikakumaliza
Cyber
Sema pia sijawah fanya kwa ubaya mfano kumdhalilisha mtu nk