Habari ya muda huu kaka naomba kupata utaalamu wa mambo haya
#ili kujua laptop au desktop nzuri unafanya nini au uangalie nini?
Maana naangalia Mara watu wanakuambia
*CPU
*ROM
*RAM
*HARD DISK
wataalamu wa mambo naomba kujua haya mambo ili kuepuka kununua vitu feki
Asante....