Wataalam wa IT, Programing na Electronics piteni hapa



Hapa kuna Field kama tatu/au mbili inabidi uzifahamu vizuri
1.Electronics
2.Telecomunications
3.Computer Engineering

Kwenye Remote(Transimiter) kuna Sensor inaitwa IR sensor ambayo ina traminsimit signal ambazo zinakuwa na "Certain instruction" TV(Receiver) yako inapopokea zile signal inavisoma na kujua maana yake then it does what it supposed.

Kuhusu codes sidhani kama hata ukiziona you can Understand them, Codes zinazowekwa kwenye Microcontroller au Microcontroller ni HEX or ELF..., unachotakiwa kujua either C au Assembly...

But Remote control is one of easiest thing to make kwa Kipindi hiki
 


Ooops kumbe naweza nikaanza kukaa na Mafundi magari and we can make something...

Huwa na aamini Electronics sio Ngumu kama Software
 
Ngoja tupate elimu, hapa kuwaona ndugu zetu ngumu sana, ila ingelikuwa mambo kunuka, vibamia aaaaaah! Wangeshindana
 
Msaada jamani kwa yeyote anaefahamu link nzuri ya kujifunza programming online..
 
Mkuu bado napambana mpaka kieleweke mzee sema ndio hivyo bongo na tanzania kwa ujumla tupo kizani sanaa ndio maana mambo yanazidi kuwa magumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…