Alitakiwa awe hifadhi ya Gombe huyo wasiraHuyu ni mbeba maono sio chips mayai Wala mpoteza riziki kama Lisu
Alitakiwa awe hifadhi ya Gombe huyo wasiraHuyu ni mbeba maono sio chips mayai Wala mpoteza riziki kama Lisu
Huyu ni mbeba maono sio chips mayai Wala mpoteza riziki kama Lisu
Unafikili akili bado anayo?Kipindi cha Nyerere yupo
Kipindi cha Mwinyi yupo
Kipindi cha Mkapa yupo
Kipindi cha Kikwete yupo
Kipindi cha Magufuli yupo
Kipindi cha Samia yupo
Hivi huyu mpuuzi hana kazi za kufanya !.
Amebebea maono sehemu ganiHuyu ni mbeba maono sio chips mayai Wala mpoteza riziki kama Lisu
POLE MZEE WASSIRA MWANASIASA MZEE KWA KUPANDISHWA KWENYE MAJUKWAA NA UZEE WAKO VIJANA WANAPIGA PESA WEWE UNATESEKA KUWATETEA PUMZIKA MZEE WANGUWasira amepiga kwenye mshono
Ya kuweka bendera ya taifa kwenye jengo refuImeuzwa Kwa bei gani?
Wasira mwaga moto Kwa hao matapeliAfadhali kuliko li sokwe linazunguka likijifanya binadamu!
Imeuzwa bei gani?Ya kuweka bendera ya taifa kwenye jengo refu
Shetwani hana rafikiLissu endelea kuwanyoosha mpaka wazee wanakosa busara na hekima.
Niliwahi sikia mzee ana ekari zaidi ya 200 huko Kihuluka (usiniulize ni wapi) lakini hajaendeleza hata moja na imepita zaidi ya miaka 10. Utamfanya niniJirani zake wa Kushoto na kulia Masaki ni Mh.Jakaya na Mama Sophia Simba
pia anazo apartment jirani na ubalozi wa Kenya Ally Hassan Mwinyi Road
hivi ni kwa uchache sana
Mtoto aliezaliwa wakati Wasira yupo Siasani ameshastaafu lakini Mzee bado ndio kwaaaaanza Kamanda wa vijana
Kwanini hamkumpa urais Kama afya ya akili inaruhusu Kwa kipindi kirefu hichoAFYA ya akili na mwili vinaruhusu!!
Abarikiwe!!!
Wanaomfahamu watueleze amefanya nini Cha maana kwenye Nchi hii? manake alikuwa anagandisha Samaki pale msasani Mkwere ndio alimtoaKipindi cha Nyerere yupo
Kipindi cha Mwinyi yupo
Kipindi cha Mkapa yupo
Kipindi cha Kikwete yupo
Kipindi cha Magufuli yupo
Kipindi cha Samia yupo
Hivi huyu mpuuzi hana kazi za kufanya !.
Sikubaliani na Wassira Kuwa upande wa wauza Nchi,Kwanini hamkumpa urais Kama afya ya akili inaruhusu Kwa kipindi kirefu hicho
Kazi yake ni mshauri ndio maana anawafundisha nyie mbumbumbu mnaohemka hovyo ,unaweza kuuza mpaka?Wanaomfahamu watueleze amefanya nini Cha maana kwenye Nchi hii? manake alikuwa anagandisha Samaki pale msasani Mkwere ndio alimtoa
AahaaaaaZamadamu bana.
Mkapa hakutaka Mamluki ya Nyerere ndio maana alimpiga chiniHakuwepo kipindi cha Mkapa
kwani ukimuangalia hata muonekano wake sifisi kabisa ileHuyo mzee ni mbinafsi na ana tamaa zaidi ya fisi.
Zaidi ya miaka 65 yupo kwenye uongozi bado anazurula majukwaani atakufa mdomo wazi na mic mkononi.
Jinga Sana hili, Wakati Fulani lilisema nchi wasipewe vijana! Hovyo kabisaHuyu Mzee sasa anataka atakanwe na vijana, yafaa apumzike siasani alee wajukuu kabla Mungu hajafanya yake...Pumzika siasa Tyson. wakati si wako.
We Ile sura unaona ya kawaida Ile? immortal yuleKipindi cha Nyerere yupo
Kipindi cha Mwinyi yupo
Kipindi cha Mkapa yupo
Kipindi cha Kikwete yupo
Kipindi cha Magufuli yupo
Kipindi cha Samia yupo
Hivi huyu mpuuzi hana kazi za kufanya !.