Wassira ndiyo Mzee pekee wa CCM ambaye Watoto wake hawasikiki kwenye Siasa wala Utendaji Serikalini au Sekta binafsi. Ni Uzalendo au Uchoyo?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,004
142,033
Wataje Wakongwe wote wa TANU au CCM kwa sasa Lazima Wana wa viuno vyao utawakuta ama Siasani au kwenye Utendaji Serikalini au Mashirika ya kimataifa na wengine wanang'ara kwenye sekta binafsi

Ila sijawahi kulisikia jina la Wassira pahala pengine zaidi ya Yeye mwenyewe Mzee Stephen

Yawezekana Huyu Mzee ni Mzalendo wa kweli hataki kabisa mambo ya kubebanabebana kama Akina Mzee Mtei na vijana wao wa Kaskazini

Mlale Unono 😀😀
 
Wataje wakongwe wote wa TANU au CCM kwa sasa Lazima Wana wa viuno vyao utawakuta ama Siasani au kwenye Utendaji Serikalini au Mashirika ya kimataifa na wengine wanang'ara kwenye sekta binafsi

Ila sijawahi kulisikia jina la Wassira pahala pengine zaidi ya Yeye mwenyewe Mzee Stephen

Yawezekana Huyu Mzee ni Mzalendo wa kweli hataki kabisa mambo ya kubebanabebana kama Akina Mzee Mtei na vijana wao wa Kaskazini

Mlale Unono
Mchoyo huyo tu
 
Wataje wakongwe wote wa TANU au CCM kwa sasa Lazima Wana wa viuno vyao utawakuta ama Siasani au kwenye Utendaji Serikalini au Mashirika ya kimataifa na wengine wanang'ara kwenye sekta binafsi

Ila sijawahi kulisikia jina la Wassira pahala pengine zaidi ya Yeye mwenyewe Mzee Stephen

Yawezekana Huyu Mzee ni Mzalendo wa kweli hataki kabisa mambo ya kubebanabebana kama Akina Mzee Mtei na vijana wao wa Kaskazini

Mlale Unono 😀😀
Kama Baba yao ndiyo huyo, unategemea hao watoto wakoje? Watakuwa hasara tupu ndiyo maana huwaoni popote
 
Wataje Wakongwe wote wa TANU au CCM kwa sasa Lazima Wana wa viuno vyao utawakuta ama Siasani au kwenye Utendaji Serikalini au Mashirika ya kimataifa na wengine wanang'ara kwenye sekta binafsi

Ila sijawahi kulisikia jina la Wassira pahala pengine zaidi ya Yeye mwenyewe Mzee Stephen

Yawezekana Huyu Mzee ni Mzalendo wa kweli hataki kabisa mambo ya kubebanabebana kama Akina Mzee Mtei na vijana wao wa Kaskazini

Mlale Unono
Umejuaje kama ana watoto?
 
Mzee WASSIRA kajichokea lakini CCM inamtaka awe mpiga Tarumbeta wao Pumzika Mzee wangu SIASA za Matusi zitakutia AIBU Vijana wa kizazi hiki watakutukana majukwaani
IMG_20230731_230128_416.jpg
 
Wataje Wakongwe wote wa TANU au CCM kwa sasa Lazima Wana wa viuno vyao utawakuta ama Siasani au kwenye Utendaji Serikalini au Mashirika ya kimataifa na wengine wanang'ara kwenye sekta binafsi

Ila sijawahi kulisikia jina la Wassira pahala pengine zaidi ya Yeye mwenyewe Mzee Stephen

Yawezekana Huyu Mzee ni Mzalendo wa kweli hataki kabisa mambo ya kubebanabebana kama Akina Mzee Mtei na vijana wao wa Kaskazini

Mlale Unono 😀😀
Sio kweri ...kama Mzee mwenyewe amejaa mipasho unategemea watoto wake kutoboa?
 
Wataje Wakongwe wote wa TANU au CCM kwa sasa Lazima Wana wa viuno vyao utawakuta ama Siasani au kwenye Utendaji Serikalini au Mashirika ya kimataifa na wengine wanang'ara kwenye sekta binafsi

Ila sijawahi kulisikia jina la Wassira pahala pengine zaidi ya Yeye mwenyewe Mzee Stephen

Yawezekana Huyu Mzee ni Mzalendo wa kweli hataki kabisa mambo ya kubebanabebana kama Akina Mzee Mtei na vijana wao wa Kaskazini

Mlale Unono 😀😀
Uyu mzee uyu Mungu anamuona
 
Back
Top Bottom