Hebu acha utani! Huoni huyo mama ni muathirika?
KWA URAIS JAMANI SIO SIRI PROF. ANNA TIBAIJUKA ANATOSHA 2015 NA NAUHAKIKA ATATUONDOLEA UMASIKINI TANZANIA
Katika hali ya Shangwe na furaha leo baada ya upigaji kura kukamilika, Mwenyekiti wa Bunge la katiba aliwakaribisha wajumbe mbalimbali kwaajili ya kutoa shukrani na kuhitimisha, Ilipofika zamu ya Steven Wassira kundi la wabunge lilipuka kwa shangwe na nderemo kwa sauti "Rais, Rais ,Rais,!!!!!!!!"
Baadhi ya watu waliolisikia hilo wametoa maoni yao kuwa hiyo ni ishara njema ya kukubalika miongoni mwa wabunge hao, na ishara njema kwake.
Baada ya kupewa nafasi hiyo, Wassira alitililika kwa ufasaha, akionyesha utulivu na ukomavu wa kisiasa, huku akishangiliwa kupita kiasi na bunge zima.
Katika maneno yake yaliyojaa Hekima na Busara,Wassira kaitendea haki hadhi aliyopewa hapo bungeni leo.
Wengine waliochangia vizuri na kwa utulivu ni Hamadi Rashidi, John Shibuda, Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Mbunge wa Kishapu,Serukamba,Kingunge Ngombali Mwiru na wengine wengi.
Nyota njema huonekana asubuhi.
WANAWAKE WANAWEZA NA 2015 NI ZAMU YA RAIS MWANAMKE AJE KUTUONDOLEA UMASIKINI TANZANIA. PROF. ANNA TIBAIJUKA ANAFAA KUWA RAIS 2015
Katika hali ya Shangwe na furaha leo baada ya upigaji kura kukamilika, Mwenyekiti wa Bunge la katiba aliwakaribisha wajumbe mbalimbali kwaajili ya kutoa shukrani na kuhitimisha, Ilipofika zamu ya Steven Wassira kundi la wabunge lilipuka kwa shangwe na nderemo kwa sauti "Rais, Rais ,Rais,!!!!!!!!"
Baadhi ya watu waliolisikia hilo wametoa maoni yao kuwa hiyo ni ishara njema ya kukubalika miongoni mwa wabunge hao, na ishara njema kwake.
Baada ya kupewa nafasi hiyo, Wassira alitililika kwa ufasaha, akionyesha utulivu na ukomavu wa kisiasa, huku akishangiliwa kupita kiasi na bunge zima.
Katika maneno yake yaliyojaa Hekima na Busara,Wassira kaitendea haki hadhi aliyopewa hapo bungeni leo.
Wengine waliochangia vizuri na kwa utulivu ni Hamadi Rashidi, John Shibuda, Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Mbunge wa Kishapu,Serukamba,Kingunge Ngombali Mwiru na wengine wengi.
Nyota njema huonekana asubuhi.
Huyo Wasira akiwa rais anaweza kuhutubia UN kweli? Hiyo sura yake itawafanya wazungu wapige mayowe wakidhani wamevamiwa!
Kwa nini Lowasa hakupewa nafasi? Makonda yeye anamtaka Pinda!
labda awe rais wa iptl na mabibo wine maana financer wake mkuu ni Rugemalila jambazi kuu katika kashfa ya dollar zaidi ya 200 millioni zilizoibiwa tegeta escow account
WANAWAKE WANAWEZA NA 2015 NI ZAMU YA RAIS MWANAMKE AJE KUTUONDOLEA UMASIKINI TANZANIA. PROF. ANNA TIBAIJUKA ANAFAA KUWA RAIS 2015
Katika hali ya Shangwe na furaha leo baada ya upigaji kura kukamilika, Mwenyekiti wa Bunge la katiba aliwakaribisha wajumbe mbalimbali kwaajili ya kutoa shukrani na kuhitimisha, Ilipofika zamu ya Steven Wassira kundi la wabunge lilipuka kwa shangwe na nderemo kwa sauti "Rais, Rais ,Rais,!!!!!!!!"
Baadhi ya watu waliolisikia hilo wametoa maoni yao kuwa hiyo ni ishara njema ya kukubalika miongoni mwa wabunge hao, na ishara njema kwake.
Baada ya kupewa nafasi hiyo, Wassira alitililika kwa ufasaha, akionyesha utulivu na ukomavu wa kisiasa, huku akishangiliwa kupita kiasi na bunge zima.
Katika maneno yake yaliyojaa Hekima na Busara,Wassira kaitendea haki hadhi aliyopewa hapo bungeni leo.
Wengine waliochangia vizuri na kwa utulivu ni Hamadi Rashidi, John Shibuda, Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Mbunge wa Kishapu,Serukamba,Kingunge Ngombali Mwiru na wengine wengi.
Nyota njema huonekana asubuhi.