SAUSTINE CHARLES
JF-Expert Member
- Nov 23, 2014
- 364
- 335
Naomba kusaidiwa juu ya hili.nimekuwa nikiwatumia sms watu kwenye simu yangu.lakini tatizo linakuja kwenye upande wa "delivery report"yaani hata kama nmetuma sms 10 report zote zinaenda kwa mtu mmoja ata ambaye sijamtumia.sasa mpaka sasa niko njiapanda kwani nashindwa kuelewa juu ya ili swala,kwamba huyo mtu kafanyaje kwenye line yangu mpaka delivery report zote ziende kwake?mnaofaham naomba mnisaidie