Wasifu wa Mheshimiwa Shibuda

Khaa!! Kuna watu wana akili za kukaririshwa kwelikweli. Eti Shibuda kapewa ubunge na cdm wakati kachaguliwa na wapigakura wake. Eti sera ya cdm ni serikali 3 wakati 2010 hawakuwa na mgombea wa urais wa tanganyika... pumbaaaafffff
Unaweza kuchagua mgombea ambae cheo chake hakipo kwenye karatasi ya wagombea? we ndi pumbaf kwa kuwa huwezi kufikiria vitu vyenye maana, angekuwepo mgombea na serikali ya Tanganyika ingekuwepoleo tusingeongelea hilo hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…