kindikwili
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 1,862
- 2,871
Aisee kama kuna mtu anamjua huyu jamaa kwa undani hebu atuwekee hapa wasifu wake, hasa elimu yake na ubobevu wake kwenye siasa. Nimeona clip yake moja akisema vyuma vimelainika na kwamba ni vinyororo kama urojo.
Ameonya watumishi wanaosema vyuma vimekaza atawasemea kwa katibu tawala wa Mara ili watimuliwe kazini maana wasomi ni wengi.
Lakini pia leo nimesikia kwenye radio Magic EFM kwamba kumuonya mkuu wa wilaya tarime bwana Luoga kwamba hayuko tayari kufanya naye kazi kwasababu ananyanyasa raia na kufanya CCM kuwa na wakati mugumu wakati wa kampeni huko Tarime.
Sasa kama unamjua vizuri hebu tupe wasifu wake.
Ameonya watumishi wanaosema vyuma vimekaza atawasemea kwa katibu tawala wa Mara ili watimuliwe kazini maana wasomi ni wengi.
Lakini pia leo nimesikia kwenye radio Magic EFM kwamba kumuonya mkuu wa wilaya tarime bwana Luoga kwamba hayuko tayari kufanya naye kazi kwasababu ananyanyasa raia na kufanya CCM kuwa na wakati mugumu wakati wa kampeni huko Tarime.
Sasa kama unamjua vizuri hebu tupe wasifu wake.