Wasichokifahamu NEC

Halafu wote mnalalamika. Wala hamtoi solution kwamba mtakaa mita ngapi au mtafanya nini
 
Kihunzi cha mwisho kwa ukawa.Uzoefu mahali ambapo kura zililindwa vizuri upinzan ulishinda.
 
Bila Kukemea Matamko na Sheria zinazotungwa wakati wa dakika za Majeruhi, Safari hii Nionavyo Machafuko

Hayaepukiki..Watu Wameichoka CCM na Watawala Wanayo Maarifa na Ujuzi wa Kushinda Hata kwa gori la Mkono.

CCM Wanajidanganya ya Kwamba,Rais Hawezi toka Kaskazini, Tutatoa kila Kitu Isipokuwa Ikulu....Nadhani Taifa hili Safari Hii Linaenda

Kuchanikachanika.

Chukua...Weka...Lowassa; Vita Nyuma Hatua Mia mbili (200M),Kama sheria ya Uchaguzi Inavysema Then Subiria Matokeo ya Kura yako Uliyoipiga.
 
Hahahaaa mkuu, ur just thinking loud??

Haemoglobin;
I think yu are a prophet. Si bure. I am just thinking aloud. Nisameheni jamani cause when I think of siasa hizi za Tz najikuta my head just spinning.
 
Hilo la kuondoka wajue tumekataa kama ni kuua waue tu lakini bao la mkono hapana

Amon;
Ndugu yangu, sikiliza amri ya mwisho. Ni ya mwenye kaya hiyo. Amekuambia, piga kura, tumbukiza kwenye box, ondoka nenda nyumbani. Atakutangazia kura yako ilikwenda wapi. Si umwamini tu?? Ni kaushauri tu Amon, usinichukie ila sipendi kukuona huna meno maana haya mavijana ya kina Kova na wenzake hayanaga simile yanapoisikia amri ya ki-ccm
 
Piga kura geuka nyuma mita 200 piga kambi subiri matokeo
 
Mungu atusaidie tu jamani maana naona vita inanukia.
Kikwete anatoa tamko kwani yeye ni nani katika NEC?
Wanaohusika na uchaguzi si NEC?
 
DA wewe jamaa una akili sana, umeongea oja na ushahidi,safi sana ni bahati sana kuwa na watu kama wewe,hapa nakuhakikishia kuwa goli la mkono linatafutiwa mazingira.tusubiri.


Goli lisilohalali katika uchaguzi huu litawasha moto mkali nchi nzima
 
Mungu atusaidie tu jamani maana naona vita inanukia.
Kikwete anatoa tamko kwani yeye ni nani katika NEC?
Wanaohusika na uchaguzi si NEC?

Vita inanukia? Labda kwenye keyboard yako.
Tz hakutakuwa vita kwa sababu ya uchaguzi!
 
Vita inanukia? Labda kwenye keyboard yako.
Tz hakutakuwa vita kwa sababu ya uchaguzi!

Kila kitu kinawezekana hivi unafikiri nchi nyingine vta ilianzaje unafikiri hawapendi amani eeh mataifa makubwa ndo hutumia cchances ka hizi sasa kupenyeza yao
 
Alianza vizuri ila naona kitengo kilimstisha akaamua kuwa against the truth
 
Nakumbuka baada ya katiba mpya kushindikana chadema walitaka kabla ya uchaguzi mkuu WA 2015 marekebisho kwenye taratibu na muundo wa NEC ikiwemo daftari la kupiga kura yafanyike sasa sijui kama yalifanyika?
 
mimi nasema nitakaa mita mia mbili away, kama nikuniua acha waniua lakini damu yangu itakuwa imekomboa kizazi changu. i'm sick n tired of injustice in this country

aah wapi hakuna mbongo mwenye jeuri hii...
 
baki hivyo hivyo na mazoea yako, kwanin manalazimisha wananchi? ccm wananchi waliowengi hawitaki, imeshindwa kuleta maendeleo, ccm muwe wastarabu, 1995, upinzani walishindwa wakakubali, 2000, 2005,2010 vipindi vyote hivi wamekubali matokeo, xaxa inaonekana wazi kabisa upinzani wananafasi ya kushinda, kikichobaki ccm na serikli yake ni kutisha watu tu, sasa this tym tunasema, come wht may, tutakutana siku hiyo
 

Chagueni watu kama nyie mkasimamie kuhesabu kura!Kama nchi hii huna wazalendo 40,000 wanaotaka uwe rais kwa udi na uvumba, wasiohongeka "Royal subordinates" wewe huna sifa ya kuwa Rais
 
huku kwetu NO maneno mengi kama ilivyokuwa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ndio itakuwa hivyo hivyo kwenye uchaguzi mkuu.chakachueni hukohuko kwenye vituo vingine lkn kwetu huku tushaamua kitambo diwani upinzani mbunge upinzani raisi upinzani.

udiwani na mbunge tumeweza na tunasonga mbele.

mkilegea wapiga kura inakula kwenu msiogope na vitisho vyao.

kwetu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa Mara ya kwanza baada ya kuona ccm maji ya shingo kura zinahesabiwa chadema inawakimbiza wakazima taa na kubidua mabox ya kura na kuzimwaga mwaga.
tulio kuwa karibu baada ya wakala kutoka nje mbio nankutoa taarifa tulizama wote ndani kushuhudia kilichotokea vilitembea vichapo kwao na kuwekwa chini ya ulinzi polisi wakaja wakawachukua na uchaguzi ukarudiwa.
 


Huko 2010 ni mbali hili la mwaka huu Jaji Lubuva ameisahau?

Ni vizuri NEC ikajione namna ya kujikwamua na mikono ya Lumumba ni kusimamia sheria tu na siyo kufanya kazi ya CCM-maana tayari kuna mgongano wa kimasilahi maana bado NEC siyo Tume huru sasa wanapoongeza haya madudu wanaleta ukakasi zaidi.

Mwaka huu tu hawa hawa Wakurugenzi ambao tarehe 25.10.2015 watakuwa ndiyo wasimamizi wa uchaguzi walifanya madudu maeneo mengi uchaguzi wa Wenyeviti wa Serikali za Mitaa.





 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…