Habari zenu wadau.
Nimepanga nyumba moja hivi mjinj. Nyumba hii ina masista duu watatu hatari ambao ukikutana nao barabarani lazima zipu ikaze. Yaani ni mademu haswaa!! Lakini wanakasoro moja ya uchafu.
Uchafu wao ni kurundika chupi chafu vyumbani mwao. Kwanini nasema hivyo, maana siku wakiamua kufua chupi wanajaza kamba zote hadi wengine tunashindwa pa kuanika. Chupi zao zinakuwa kama mapambo ya 'father krismas' kwenye kamba.
Nadhani hata zile wanazo vaa siku zao waziweka getoni mwao tu. Lakini ukikutana nao nje, fulu kujinyunyiza unyunyu. Hawa hawana tofauti na jeneza lililopambwa alafu ndani limebeba maiti.
Dada zetu acheni uchafu wa kurundika chupi chafu magetoni mwenu. Mptuuu! Tema mate kule.
Kulikuwa Kuna haja ya kuanzisha mada/uzi mkuu kwa nini usiwaambie huko. Ushauri wangu nunua kamba yako ili uwe free nayo.Habari zenu wadau.
Nimepanga nyumba moja hivi mjinj. Nyumba hii ina masista duu watatu hatari ambao ukikutana nao barabarani lazima zipu ikaze. Yaani ni mademu haswaa!! Lakini wanakasoro moja ya uchafu.
Uchafu wao ni kurundika chupi chafu vyumbani mwao. Kwanini nasema hivyo, maana siku wakiamua kufua chupi wanajaza kamba zote hadi wengine tunashindwa pa kuanika. Chupi zao zinakuwa kama mapambo ya 'father krismas' kwenye kamba.
Nadhani hata zile wanazo vaa siku zao waziweka getoni mwao tu. Lakini ukikutana nao nje, fulu kujinyunyiza unyunyu. Hawa hawana tofauti na jeneza lililopambwa alafu ndani limebeba maiti.
Dada zetu acheni uchafu wa kurundika chupi chafu magetoni mwenu. Mptuuu! Tema mate kule.
Mm nakuunga Kwa 100%Habari zenu wadau.
Nimepanga nyumba moja hivi mjinj. Nyumba hii ina masista duu watatu hatari ambao ukikutana nao barabarani lazima zipu ikaze. Yaani ni mademu haswaa!! Lakini wanakasoro moja ya uchafu.
Uchafu wao ni kurundika chupi chafu vyumbani mwao. Kwanini nasema hivyo, maana siku wakiamua kufua chupi wanajaza kamba zote hadi wengine tunashindwa pa kuanika. Chupi zao zinakuwa kama mapambo ya 'father krismas' kwenye kamba.
Nadhani hata zile wanazo vaa siku zao waziweka getoni mwao tu. Lakini ukikutana nao nje, fulu kujinyunyiza unyunyu. Hawa hawana tofauti na jeneza lililopambwa alafu ndani limebeba maiti.
Dada zetu acheni uchafu wa kurundika chupi chafu magetoni mwenu. Mptuuu! Tema mate kule.
Ona ulivyo mchafu mpaka unaweweseka na watu wengine, hahahaNawe ni mmoja wapo. Bahatinnzuri ujumbe umekufikia
Nitamletea mkeo basi
hahahaha ndio maana nikamwambia huyu braza man ni mchafu ila yeye hajajijua kama ni mchafu....Kama una mke si bora umpe sasa kuja hadi kwangu na chupi chafu huoni wewe mwenyewe utanuka.