Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
Uliandika pumba tupuKwa sasa wanaamini kwa vile wamesajili wacongo wengi basi TP Mazembe imewawakilisha.
Ninashangaa wana furaha sana licha ya kutolewa klabu bingwa Afrika mechi ya awali kabisa. Wao wanaamini kikosi chao kina uwezo wa kuifunga Simba.
Nahisi wengi wanafikiri eidha nao walikuwa wanacheza mechi ya kirafiki ama walidhani Simba naye amecheza mechi ya klabu bingwa.
Kama ni kufurahia Simba kupoteza kwa vile wao pia walipoteza na Simba ikafurahi, wajue tu kuwa wanasimba walifurahi kutokana na mfungaji wa goli siku ile; Muhimu sana kumkumbuka "Kapumbu"