mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Hakika wasanii wa Tanzania wanashangaza sana baada ya vyombo vya habari kutangaza kuwa msanii hawa anaumwa na anahitaji matibabu nje ya nchi niliamini wasanii wangejitokeza kwa wingi kumsaidia msanii mwenzao.
Badala yake ni msanii mmoja tu bwana Diamond alitangaza hadharani kusema ametenga sh.mil.50 kwa ajili ya matibabu hayo nilitegemea baadhi ya wasanii wangejipigapiga ili kuongezea alipoishia Diamond hakika wasanii wetu hamna umoja bali mnasubiri msanii afe ndio mtafute kibali leaders za kuaga mwili wa marehemu kumbukeni leo hawa kesho wewe au mimi.
Badala yake ni msanii mmoja tu bwana Diamond alitangaza hadharani kusema ametenga sh.mil.50 kwa ajili ya matibabu hayo nilitegemea baadhi ya wasanii wangejipigapiga ili kuongezea alipoishia Diamond hakika wasanii wetu hamna umoja bali mnasubiri msanii afe ndio mtafute kibali leaders za kuaga mwili wa marehemu kumbukeni leo hawa kesho wewe au mimi.