Wasanii wetu enzi hizo!

MTAZAMO

Platinum Member
Joined
Feb 8, 2011
Posts
20,099
Reaction score
35,375
Kweli tunatoka mbali!



Credit; XDEEJAYZ
 

Attachments

  • ZAMANI.jpg
    29.6 KB · Views: 824
dah....umenikumbusha MAX huzuni imenikaba RIP
 
Yaan marehem Max ndo anaonekana ananafuu ya Maisha kipindi hiko
 
Ray C akiwa kimodo alafu angalia wasanii wa hiphop na style za mabegi mgongoni! Dudubaya na AY wakiwakilisha.
 
Samahani lkn,hivi hapo AY alikuwa na kilo zaidi ya 50 kweli,maana
 
Ray c alikua mzuri enzi hizo,sasa hivi huo mkorogooo

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Daah,maisha kitu kingine kabisa,hakuna aliyekuwa akijua ni nini kiko mbele yake.Baada ya hapo Max akafa,Ray C akawa teja,Dudu baya akaisha kimuziki na AY akatusua...
Maisha anapanga Mungu kwakweli.

"Nlikuwepo":bolt:
 
AY sijui alikua anapima kilo ngapi hapo mwe.!!!!
 
Enzi za kusugua sori mchana kutwa wakitafuta studio,halafu walikuwa weusi haoooo!!!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…