Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,611
- 8,740
Baada kusambaa story za msanii poor mavoko baada ya kuwa rich mavoko.
Mziki wake umekosa washauri sababu akili zao ndio zimeishia hapo kama ma mameneja wao ambao wanatumia nguvu kuchekesha wenye idadi ya maigizo kuzidi umri wao.
Kama mtakumbuka Mr nice naye alianza Chaka tu Chaka na mwisho bar tu bar.
Mwisho wa siku kwenda zake Kenya.
Mziki wa Sasa sio wakupata masteji sana labda ukiandaliwa na wenye dau nono wakikuitaji.
Zipo stream nyingi zinaweza kukuwezesha watu wakakufahamu.
Leo Chaka ilo aka kijijini wanafahamu boomplayer.
Chaka ilo wanapigiwa nyimbo za wasanii disko na kwengine.
Wasanii
Mziki wake umekosa washauri sababu akili zao ndio zimeishia hapo kama ma mameneja wao ambao wanatumia nguvu kuchekesha wenye idadi ya maigizo kuzidi umri wao.
Kama mtakumbuka Mr nice naye alianza Chaka tu Chaka na mwisho bar tu bar.
Mwisho wa siku kwenda zake Kenya.
Mziki wa Sasa sio wakupata masteji sana labda ukiandaliwa na wenye dau nono wakikuitaji.
Zipo stream nyingi zinaweza kukuwezesha watu wakakufahamu.
Leo Chaka ilo aka kijijini wanafahamu boomplayer.
Chaka ilo wanapigiwa nyimbo za wasanii disko na kwengine.
Wasanii