Wasafi wanahamia CCM, wachafu wanahamia CHADEMA

Wasafi wanahamia CCM, wachafu wanahamia CHADEMA

Maswa 1

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2017
Posts
673
Reaction score
999
Amani ya bwana iwe nanyi.

Inajulikana wazi kuwa katiba ya nchi yetu inampa uhuru mtu yoyote kuishi mahali popote na kuhamia chama chochote cha siasa anachoona kinafaa.

Hivi karibuni limeibuka wimbi la wanachama kuhama chama mara kwa mara, hili ni jambo la kawaida wala hamna anayelitilia shaka kwa sababu kwenye nchi yenye democrasia pana kama Tanzania hayo mambo yanatazamiwa kutokea.

Kilichonishitua na kuamua kuandika uzi huu ni aina ya wanachama wanaohamia kutoka CCM kwenda CHADEMA.

Ukiwaangalia waliohamia CHADEMA kama Lowassa, Sumaye, Wema Sepetu, Nyalandu wote ni watuhumiwa wa ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka.

Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akiulizwa kwanini wezi na wauza madawa ya kulevya wanakimbilia CHADEMA? Anajibu chama ni watu!

Kweli CHADEMA mesahau miiko, maadili na misingi ya kuanzishwa kwake hadi ipokee mafisadi na wala rushwa?

Kwa hali hii chadema inajiandaa kushika dola kweli?

Kwa upande wa wanachama wanaohamia CCM kuanzia Masha, Mkumbo, Mwigamba, Katambi wote ni wasafi na hawana hata tone la ufisadi wala matumizi mabaya ya madaraka kama wale wanaotoka CCM na kwenda CHADEMA!

Kwanini hali hii inatokea?

Nini kimeifanya CHADEMA iwe kimbilio la mafisadi, wala rushwa na majizi alafu CCM kugeuka kuwa kimbilio la wasafi, wazalendo na wachapakazi?
 
Kwa maana hiyo CCM ni dubwasha la kupika watu wachafu wakati Chadema ni kiwanda cha kutengeneza watu safi wenye maadili mazuri.
Zamani ndiyo ilikuwa hivyo siyo sasa
 
Amani ya bwana iwe nanyi.

Inajulikana wazi kuwa katiba ya nchi yetu inampa uhuru mtu yoyote kuishi mahali popote na kuhamia chama chochote cha siasa anachoona kinafaa .

Hivi karibuni limeibuka wimbi la wanachama kuhama chama mara kwa mara, hili ni jambo la kawaida wala hamna anayelitilia shaka kwa sababu kwenye nchi yenye democrasia pana kama Tanzania hayo mambo yanatazamiwa kutokea.

Kilichonishitua na kuamua kuandika uzi huu ni aina ya wanachama wanaohamia kutoka ccm kwenda chadema. Ukiwaangalia waliohamia chadema kama Lowasa, Sumaye ,Wema Sepetu , Nyalandu wote ni watuhumiwa wa ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka.
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akiulizwa kwa nini wezi na wauza madawa ya kulevya wanakimbilia chadema? Anajibu chama ni watu!!!
Kweli chadema imesahau miiko ,maadili na misingi ya kuanzishwa kwake hadi ipokee mafisadi na wala rushwa?
Kwa hali hii chadema inajiandaa kushika dola kweli?

Kwa upande wa wanachama wanaohamia ccm kuanzia ,Masha ,Mkumbo ,Mwigamba , Katambi wote ni wasafi na hawana hata tone la ufisadi wala matumizi mabaya ya madaraka kama wale wanaotoka ccm na kwenda Chadema!!

Kwa nini hali hii inatokea??

Nini kimeifanya chadema iwe kimbilio la mafisadi ,wala rushwa na majizi alafu ccm kugeuka kuwa kimbilio la wasafi ,wazalendo na wachapakazi?
Sawa kabisa waliohapa kutoka chadema ni wasafi tena sana baada ya kupikwa na kufundishwa maadili ya kazi. Sasa jiulize wamehamaje. Wengine wamehama kwa kutishiwa kufilisiwa mali zao. Halafu wale mwezi moja watakuwa sio wale watakatifu waliotoka chadema watakuwa ni wezi waongo na wala rushwa kwasababu wameenda kwa wezi wenzao. Na wale unaowaita wezi waliotoka wezi wakaamua kuja kuokoka na kweli wameokoka kwani ndani ya chadema hakuna rushwa. Wanajitolea chochote kile kidogo walichonacho wanagawana mengi ilikuwa ni kuwasaidia wana wa Tanzania wanaoteseka kwa kuongea, kuibiwa na Majizi ccm. Hata uwe mtakatifu kiasi gani ukinusa tu ccm nawe anachanganyikiwa na kuwa mwizi. Uzuri wamehamia ccm kama wao hakuna athari yoyote waliopata chadema. Wanachama wanne, chadema wanaingiza wanachama wapya 300. Haya mahesabu ni chadema tu ndio wanaijua, ukiwa ccm siyo rahisi kujua hili kwani akili home freez mpaka ije ishituliwe siyo leo
 
tumewatuma vijana wetu kutoka cdm wawachotee akli wakumbatien kabsaa, mtapata majibu 2020
 
Amani ya bwana iwe nanyi.

Inajulikana wazi kuwa katiba ya nchi yetu inampa uhuru mtu yoyote kuishi mahali popote na kuhamia chama chochote cha siasa anachoona kinafaa .

Hivi karibuni limeibuka wimbi la wanachama kuhama chama mara kwa mara, hili ni jambo la kawaida wala hamna anayelitilia shaka kwa sababu kwenye nchi yenye democrasia pana kama Tanzania hayo mambo yanatazamiwa kutokea.

Kilichonishitua na kuamua kuandika uzi huu ni aina ya wanachama wanaohamia kutoka ccm kwenda chadema. Ukiwaangalia waliohamia chadema kama Lowasa, Sumaye ,Wema Sepetu , Nyalandu wote ni watuhumiwa wa ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka.
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akiulizwa kwa nini wezi na wauza madawa ya kulevya wanakimbilia chadema? Anajibu chama ni watu!!!
Kweli chadema imesahau miiko ,maadili na misingi ya kuanzishwa kwake hadi ipokee mafisadi na wala rushwa?
Kwa hali hii chadema inajiandaa kushika dola kweli?

Kwa upande wa wanachama wanaohamia ccm kuanzia ,Masha ,Mkumbo ,Mwigamba , Katambi wote ni wasafi na hawana hata tone la ufisadi wala matumizi mabaya ya madaraka kama wale wanaotoka ccm na kwenda Chadema!!

Kwa nini hali hii inatokea??

Nini kimeifanya chadema iwe kimbilio la mafisadi ,wala rushwa na majizi alafu ccm kugeuka kuwa kimbilio la wasafi ,wazalendo na wachapakazi?
Mnalalmika mitandaoni wakati mna mahakama...wapelekeni
 
Mleta maada naona umeamua kuuthibitishia umma wa wanaJF kwamba CCM ni kuchafu na wanaotoka kule ni wachafu pia, Lakini CHADEMA ni Safi ndiyo maana wanaotoka kule ni watu safi pia?????.
 
Sawa kabisa waliohapa kutoka chadema ni wasafi tena sana baada ya kupikwa na kufundishwa maadili ya kazi. Sasa jiulize wamehamaje. Wengine wamehama kwa kutishiwa kufilisiwa mali zao. Halafu wale mwezi moja watakuwa sio wale watakatifu waliotoka chadema watakuwa ni wezi waongo na wala rushwa kwasababu wameenda kwa wezi wenzao. Na wale unaowaita wezi waliotoka wezi wakaamua kuja kuokoka na kweli wameokoka kwani ndani ya chadema hakuna rushwa. Wanajitolea chochote kile kidogo walichonacho wanagawana mengi ilikuwa ni kuwasaidia wana wa Tanzania wanaoteseka kwa kuongea, kuibiwa na Majizi ccm. Hata uwe mtakatifu kiasi gani ukinusa tu ccm nawe anachanganyikiwa na kuwa mwizi. Uzuri wamehamia ccm kama wao hakuna athari yoyote waliopata chadema. Wanachama wanne, chadema wanaingiza wanachama wapya 300. Haya mahesabu ni chadema tu ndio wanaijua, ukiwa ccm siyo rahisi kujua hili kwani akili home freez mpaka ije ishituliwe siyo leo
Hawa jamaa hawama akili. CdM wamezunguka kwenye campaign wamevuna mamia ya wanachama na ndio ambao ni potential sana kwa CdM, wao (ccm) inachukua mauza uza......

Kindly aje mwana ccm hapa aseme kwenye campaign hizi wamevuna wanachama wapya hata 20
 
Baada ya mwaka chadema itakuwa chama maalum cha mafisadi na wote waliotumia madaraka vibaya..take it from me..kisha watu wengi wa maana wataondoka..mbowe atakuwa na timu Mpya ya majizi na wapiga dili wakiwania urais wa nchi
 
Kwa sababu miaka yote CCM kinakubali kukosolewa na kubadilika. Sasa Ccm kimebadilikana kimebadilika kweli kweli . Magufuli ni mzalendo wa kweli.
Wakati Mbowe ni mwanasiasa mhuni, mbabaishaji, mchumia tumbo. Ndo maana alikosana na mzalendo mwingine Dr Slaa. Yeye anawapenda sana watu Wachafu, Majizi, wenye fedha chafu,!!!
 
Back
Top Bottom